MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,562
- Thread starter
- #81
Yaani kama nakuona unavyomshangaa mdada anayelament kuwa umemchezea as if wakati mnado yeye jhakuwa akicheza rafu lol yale yale ya nilipe bikra yangu nawe akulipo blows zako ahahahaHiyo sentensi kanichezea kisha kaniacha, kaniharibia maisha yangu huwa inanichekesha sana!