Muulize huyo sheikh akupe ushahidi hayo maneno ameyapata wapi. Maana hajatoa ushahidi ameongea tu,na sisi ushahidi ni Qur'aan na sunnah.Naomba ya video yako uliyompinga huyo sheikh..... kwasababu kama hicho kitu hakipo ina maana sheikh amepotosha na anapaswa apingwe.... naomba inayompinga huyo huyo sheikh.
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba ya video yako uliyompinga huyo sheikh..... kwasababu kama hicho kitu hakipo ina maana sheikh amepotosha na anapaswa apingwe.... naomba inayompinga huyo huyo sheikh.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilikuwekea hii sehemu fulani, haukurudi tena...... do u remember????View attachment 1071536View attachment 1071537
Sent using Jamii Forums mobile app
Case closed.Naomba umuulize huyo sheikh hayo maneno ameyapata wapi. Sababu sisi katika uislamu tunasema amesema Allah (Qur'aan) aliye juu na amesema mtume wa Allah (Sunnah).
Kisha nikuletee mapokezi sahihi juu ya Al Hoor Ain.
Nipo ....
Case closed.Sasa hapa unaweka ushahidi wa kuhusu nini au hoja yako ni nini ?
Ushahidi kwa waislamu ni Qur'aan na maneno ya mtume amani ya Allah iwe juu yake.
Sasa pakuanzia unachotakiwa kuniletea mimi na kukijadili ni aya au hadithi,sio maneno makavu sampuli hiyo.
Nimekupa kazi hiyo,na subiri aya na hadithi.
Nipo ....
Umeandika kama unakimbizwa.
Kwa jinsi unavyoongea...unamuweka Mungu katika hali na hulka za kibinadamu...yaan uomba ndo upewe huombi haupewi.Hizi ni akili za kibinadamu kabisa.....Mawazo ya Mungu si mawazo yetu....Nani alikuambia mpaka umuombe Mungu ndo anakupa au pia unajuaje kama hicho ulichonacho ni kidogo sana kuliko ambacho Mungu angekupa kama ungemuomba??Unaojiona umekamilika lkn kumbe ungeweza kukamilika mara elfu zaidi kama ungemuomba Mungu wako..Well, vyote ulivyoandika hapo juu ni very illogical, since natumia logic nichangiapo mijadala(bila shaka kila mtu anapaswa kutumia pia), kipingele hiki pekee ndicho angalau kinaweza fanyiwa majadiliano, ili niweze kuendelea kuchangia, naomba unijibu swali nitakalo kuuliza ili niweze kuchanganua kama kipengele hiki nacho kina at least chembe za logic ama nachenywe ni pumba tu. Swali langu ni, tangua niwe na akili zangu timamu, sijawahi kumuomba mungu anisaidie kitu chochote kile, lakini nina mafanikio makubwa kuliko wakeshao wakimuomba(moja wapo ni bado napumua{natumia point yenu kuu ya kuwa mungu ndio mgawaji wa pumzi}), kwanini mungu ni mnafiki kiasi kwamba anawanyima wafuasi wake waaminifu na watiifu pumzi na mafanikio mengine, ila ananipa mimi nisiye hata na muda nae?
Kabla ya kumpa option inamaana mungu hakuweza kujua mambo yajayo kua adamu atafata upande wa shetani?Alimpa option achague awe upande wake au wa shetan hakutaka kutumia nguvu ya kumlazimisha kumfuata Mungu, ili adamu asiseme Mungu amenilazimisha kumtumikia
Kwa mantiki hiyo Mungu naye ni mbishi na hataki ushauri wa kiumbe chochote!?
Safi sana. Nimependa majibu yako. Pia nami niongeze point. Unaweza ona mtu hamtumikii Mungu na anamafanikio makubwa na pia unaweza ona mtu ni mtiifu sana ibadani lakini hafanikiwi. Ndugu yangu kuna tofauti kubwa sana ya kuzitii sheria za dini na kumtii Mungu. Hapa ndipo waumini wengi wanapofeli. NawasilishaMwanadamu alivyomkataa Mungu means ana Uhuru wa kuchagua maisha anayotakz yeye bila hata kumtegemea Mungu, na still ukapata mafanikio ikiwepo utajiri, na ndo maana nikasema hawez kukulazimisha umtegemee Kwa jambo lolote lile, na ndo ile point ya u-smart inapokuja
Kwa hy swala LA wewe kumtegemea Kwa jambo lolote lile ni swala LA hiari yako
Na hao wanamtegemea Mungu na bado hawafanikiwa, ni simple unapotaka kumtegemea Mungu lazima ujiandae na vita kutoka Kwa shetani. Na pili watu waliokoka hawafanikiwa Kwa sababu wengi wanategemea miujiza na sio akili, ili ufanikiwe lazima utumie akili, kumbuka Mungu alivyosema watu wangu wanaangamia Kwa kukosa maarifa.
Tatu kuna uhabu wa Mafundisho ya jinsi ya kufanikiwa ki-Mungu, tunajua kuna namna ya kufanikiwa ki-shetani (Freemason na Kwa njia za kichawi), na kibinadamu, lakin ki-Mungu hayo Mafundisho yamekua adimu mengi yaliyoko ni ya uongo
maada nzuri na mimi kukikazia kazia kidogo ni hivi
1.Asili ya Mungu ni nini? Asili (Nature) ya Mungu ni Roho (YOHANA 4:24).Sasa kama Mungu asili yake ni Roho na kuna roho aina mbali mbali Roho ya mungu ni ya aina gani??,Roho ya Mungu ni TAKATIFU (HOLY).sasa kwa asili ya Mungu kuwa Roho inamaana anapatikana kila mahali,Duniani,chini ya dunia,angani,mbinguni na ulimwenguni koote kwa wakati mmoja!
2.Mungu Hakumtuma Yesu aje na mwili wa Binadamu,kilichofanyika nikwamba Mungu mwenyewe aliumba mwili then akaingia ndani yake,yaani Mungu alijificha kwenye ule mwili ambao ulizaliwa na Mariam,Mungu Mwenyewe alikuwa ndani ya YESU Kristo! angalia maajabu ya Mungu,Muda huo huo alikuwa ndani ya Yesu,Muda huo huo alikuwa Mbinguni kwenye kiti cha enzi,Muda huo huo alikuwa ndani ya Yohana mbatizaji kwakuwa yohana mbatizaji alizaliwa tayari amejaa roho mtakatifu(roho wa Mungu)!,hukusoma andiko lilikuwa linatabiri kuja kwa Yesu na likasema ataitwa Emmanuel maana yake MUNGU PAMOJA NASI?,(ISAYA 7:14),Na pia kuna andiko linasema Mungu alijidhihirisha katika mwili akakaa kwetu? (1Timotheo 3:16) maana yake Mungu alitengeneza mwili then akaingia ndani yake then akaja kwa binadamu,alijidhihirisha katika mwili,kama vile wewe unavyoweza kujidhihirisha kwenye mavazi mbalimbali,ukavaa suti,au jens,au ukajidhihirisha na nguo za cadet nk..zile ni nguo tu ila wewe uko ndani ya zile nguo,na kwakuwa Mungu alikuwa anakuja kukomboa wanadamu ilimbidi aje kwa sura ya kibinadamu aishi na binadamu,awaonyeshe binadamu namna ya kuishi bila kutenda dhambi sasa Mungu ni roho ilimpasa aende kwenye nyumba ya daudi atengeneze MWILI halafu auvae huo mwili azaliwe kwa njia ya mwanamke kama binadamu wengine then atufundishe namna ya kuishi maisha matakatifu na hatimaye kafara ifanyike msalabani kuukomboa ulimwengu woote
Ni ngumu kumjua Mungu Kwa akili za kibinadamu, ndo maana msisitizo ukawa ni imani, ni lazima uamini Mungu yupo japokuwa haonekani, huo ndo msisitizotunatakiwa kumjua MUNGU kwa akili zipi chief?
Kuamini Mungu sio lazima.... hiyo lazima imetoka wapi?Ni ngumu kumjua Mungu Kwa akili za kibinadamu, ndo maana msisitizo ukawa ni imani, ni lazima uamini Mungu yupo japokuwa haonekani, huo ndo msisitizo
Yaani issue za mungu ni upumbavu mtupu na ujinga uliotukukamaswala ya mungu ni chai tu hana lolote