Najua inavyouma(nimewahi kupita hiyo hali) kwa mtu uliyempenda then mambo hayakwenda kama mlivyopanga,inauma,hauna raha,unaweza uambiwe jichanganye na watu na ukafanya hivyo still ukahisi ni yeye tu!kwanza kubali that Not every relationship means to last forever,ndo maana mkadate to know each other!
Kubwa usiwasiliane nae hata kidogo hata kama unajihisi vipi ni dawa ya ajabu,then unaweza kumwambia asikupigie simu na ww utakuwa umeshiriki kujiondoa kama yeye!tell him u hv come to the conclusion that its impossible to stay in contact with him and recover from the breakup at the same, you need time and space for yourself ,so respectfully ask him to not contact you in any way what so ever.
Mche Mungu omba,ukiamka asubuhi sema asante Yesu maana unanipenda na ninakutumainia wewe tu ,sikiliza nyimbo zitakazokuinua zozote,kama ingewezekana jaribu kumkwepa kwa namna yoyote,KUWA NA MATUMAINI YUPO aliyeandaliwa kwa ajili yako, NAKWAMBIA YUPO TENA NI MWEMA NA MZURI KWELI! Jua kwamba never person alone is responsible when relationship fails, Mungu akuinue!