House girls na akina baba

House girls na akina baba

Hahahahahaaa!!! It's funny how you analyse things, lol. Sasa unaposema unawadharau house-girls kisa hawajui kufua pichu are these not the same people you entrust your household into their care, wanawapikia na kuwafulia, they look after your kids and run the family, mweeehhh!

Just so you know, these "housegirls" are also humans, ni wanawake kama ww ulivyokua mwanamke, just because they do a lowly paid job doesn't make them lowlifes, jamani hebu jifunze kuwaheshimu binadamu wote, damn!

Platinum!!!! Post of the year!!!!
 
Hahahahahaaa!!! It's funny how you analyse things, lol. Sasa unaposema unawadharau house-girls kisa hawajui kufua pichu are these not the same people you entrust your household into their care, wanawapikia na kuwafulia, they look after your kids and run the family, mweeehhh!

Just so you know, these "housegirls" are also humans, ni wanawake kama ww ulivyokua mwanamke, just because they do a lowly paid job doesn't make them lowlifes, jamani hebu jifunze kuwaheshimu binadamu wote, damn!

Very well said Miss Kim
 
Last edited by a moderator:
Laiti kama dushe ingekuwa na macho au pua labda ingekuwa inagomea mlangoni.

Lakini mara iendapo mnara huwa haitambui kuwa hii ni ya house girl au au rafiki wa wife...pole sana.
 
ili hg awe loyal kwa baba mwenye mji shurti ulambe kwanza ila usizoee atakulelea watoto fresh na pia atakupa info za mkeo.
 
natamani nimsaidie kujibu, lakini acha umbuje wako Ennie ajibu mwenyewe.

Nadhani ushajua umbuje wako kaniahidi kunikuwadia kwa Vaislay. Hakika mi na umbuje wako hatujafahamiana Chalinze.
Vaislay tumeachana asubuhi hii.....FYI. ila baadaye atakuja kwa ukaguzi... Ennie hawezi kufanya kazi chafu hivi
 
Last edited by a moderator:
we unastress tu za mmeo kugonga hg baada ya kugundua hg ni mzuri kuliko mama mwenye nyumba.Kimsingi hata mimi ukiniletea hg mkali nampa haki yake,unataka ufaidi pekeyako tu?Mwanaume ni mali ya umma
 
Hata nao ni wanawake na ni watu, wewe kula tu, kwani umepewa ili utunze au uitumie?
 
Aisseeee! nawachukia sana house girls hasa wasojitambua!
kumekua na thread nyingi sana humu wanaume wengi wanazungumzia kuwamega ma house girls. Hivi nyie ni wanaume mliokamilika kweli!!! ulijari sio kusimamisha na kudunbukiza kwenye kila shimo mwisho wa siku mtapanda hadi ndugu zenu na wanenu.

Mi huwa nawadharau sana wanaotembea na mahousegirl coz hata kufua chupi hawajui sembuse kusafisha u^chi???? hivi wanawake huko nje wameisha hadi umchukue house girl?! mara ooh kanivalia kanga moja... ooh kaniambia nipange zamu!! shenx type !!

Mkome mkomae na ujinga wenu! btw michepuko sio dili baki njia kuu!!!
likely umeibiwa mume na hg? pole,dunia tunapitaaaaaaaa,sitegemei kula beki 3.....na zero grazing ni hatari sana,fumanizi njenje...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom