House girls na akina baba

House girls na akina baba

Mtalia sana lakini tatizo linaanzia kwenu kina mama wenyewe........mnaliangalia hili tatizo kwa upande mmoja zaidi na kukwepa wigo mzima unaoliogubika tatizo hili.

Chuki zenu (za kike) za asili kati ya mama kwa dada wa kazi na vice versa...Mama akimchukia Dada wa kazi basi ni kumkaripia, kumdharau na kumdhalilisha kwa kwenda mbele...matokeo yake mdada atatafuta faraja kwa baba......na pale inapokuwa ni chuki ya Dada wa kazi kwa mama (labda kwa kuhisi tu huyu mama anaringa), basi dada atafanya hila za kumtega Baba kwa kila njia, coz ndio silaha pekee aliyonayo ya kumkomoa (na kwa bahati mbaya ipo very effective).

Uhusiano mzuri kati ya Mdada wa kazi na Mama mwenye nyumba husaidia kupunguza tatizo kwa asilimia karibia tisini....sijasema mia moja kwani hilo nalo hutegemea na aina ya mwanaume uliyenaye...wewe ndio unamjua zaidi mumeo, jinsi alivyokuaproach...kama jamaa sio domo zege..au ana nyota za mademu kama inavyotamkwa mtaani.....mmmh....hiyo sasa ni ishu nyingine.

Alafu mbona inaonekana kina mama mnauchungu saana na waume zenu kana kwamba hamuoni tatizo la vijana wenu wanaobalehe na kuwarukia hao mabinti wa kazi hovyo....au kwa kuwa binti sio mwanao basi vijana wako wajiburudishe watakavyo ?...hayo ndio matatizo ya roho(roho kike) niliyoongelea hapo juu.

....MJIREKEBISHE KWANZA....mabadiliko huanza na wewe.
 
Hg ni mtoto wa nyumbani kaa watoto wengine
ukiona mme wako ameweza kutembea na hg weka mbali na watoto
hata watoto wake wa kuzaa hashindwi kula
 
haa! Kumbe hujawahi kuona hausgeli kapindua ndoa?? Kuna baadhi ya hg ni visu tena bonge la heshma anakufanyia vitu adim zaid ya mwanamke ulienae sasa kwann nisi mpe haki yake aitakayo?

Marehemu advocate Kapinga alioa hg wake akamtema mkewe sio hadithi ni ukweli.
 
Aisseeee! nawachukia sana house girls hasa wasojitambua!
kumekua na thread nyingi sana humu wanaume wengi wanazungumzia kuwamega ma house girls. Hivi nyie ni wanaume mliokamilika kweli!!! ulijari sio kusimamisha na kudunbukiza kwenye kila shimo mwisho wa siku mtapanda hadi ndugu zenu na wanenu.

Mi huwa nawadharau sana wanaotembea na mahousegirl coz hata kufua chupi hawajui sembuse kusafisha u^chi???? hivi wanawake huko nje wameisha hadi umchukue house girl?! mara ooh kanivalia kanga moja... ooh kaniambia nipange zamu!! shenx type !!

Mkome mkomae na ujinga wenu! btw michepuko sio dili baki njia kuu!!!
aliyekwambia hayo kakudanganya,wanawake siku hizi wakishaolewa hawatulii tena kwenye nyumba zao kutwa kucha kuzunguka na akiwa na gari ndo kbs sahau,akirudi oooh nimechoka utasikia dadaaaaaa dadaaaaaa mwekee baba chakula,mara dadaaaaaa mwekee baba maji ya kuoga mara dadaaaaaaa ...................,sasa kila kitu unataka dada amfanyie baba ila hilo la kumpa papuchi hutaki why??? wkt muda wote unasema umechoka??na msifikirie kujimwagia mapufyum kutwa ndio mnavutia???harufu ya uvundo ya mahousegirl ndo inawafanya wawe bora zaid coz wako natural ukimgegeda kale kaharufu ka uvundo ndo kanaongeza munkari zaid!!!
 
Aisseeee! nawachukia sana house girls hasa wasojitambua!
kumekua na thread nyingi sana humu wanaume wengi wanazungumzia kuwamega ma house girls. Hivi nyie ni wanaume mliokamilika kweli!!! ulijari sio kusimamisha na kudunbukiza kwenye kila shimo mwisho wa siku mtapanda hadi ndugu zenu na wanenu.

Mi huwa nawadharau sana wanaotembea na mahousegirl coz hata kufua chupi hawajui sembuse kusafisha u^chi???? hivi wanawake huko nje wameisha hadi umchukue house girl?! mara ooh kanivalia kanga moja... ooh kaniambia nipange zamu!! shenx type !!

Mkome mkomae na ujinga wenu! btw michepuko sio dili baki njia kuu!!!

We nawe jinga, kwakuwa HG wako hajui kufua pichu yake na kuosha maku yake unafikiri wote wako hivyo, we umezoea ma HG wa bei rahisi. Kuna HG ukiwaona mpaka moyo wa chini unasimama wenyewe.
 
Na bado..povu litakutoka sana mwaka huu....!

Yaani wanawake wasiojitambua kama wewe ndio safi sana!..Eti house girl hajui kuosha papuchi..au chupi...!..chelewa ili uzidi kuchekwa. Pole sana!

Labda nikuulize..wewe unayejua kuosha papuchi na kufua chupi...lipi limekupata? Mwanamke/mke ni zaidi kuosha papuchi au kufua chupi...Acha kujisahau wewe! Utaendelea kubaki na papuchi yako japo inaoshwa lakini House girl japo unamuona sio mali kitu lakini ndio poozeo la mume wako.

NB: Mnanikera sana nyie wanawake mnaowakandia wasaidizi wa ndani na kuwanyanyasa! Wewe una-papuchiwa kila siku..je unadhani yeye ni GOGO...amabalo halina Genye? mpe basi nafasi aende hata huko nje na yeye waka-mpapuchi kama amabavyo wewe mume wako anaku-papuchi.

Kuweni fair jamani..lol..kazi wawafanyie, matusi muwatukane..lol...hamna huruma jamani na wanawake wenzenu??
Aisseeee! nawachukia sana house girls hasa wasojitambua!
kumekua na thread nyingi sana humu wanaume wengi wanazungumzia kuwamega ma house girls. Hivi nyie ni wanaume mliokamilika kweli!!! ulijari sio kusimamisha na kudunbukiza kwenye kila shimo mwisho wa siku mtapanda hadi ndugu zenu na wanenu.

Mi huwa nawadharau sana wanaotembea na mahousegirl coz hata kufua chupi hawajui sembuse kusafisha u^chi???? hivi wanawake huko nje wameisha hadi umchukue house girl?! mara ooh kanivalia kanga moja... ooh kaniambia nipange zamu!! shenx type !!

Mkome mkomae na ujinga wenu! btw michepuko sio dili baki njia kuu!!!
 
Na ma housegirls ni wanawake kama wanawake wengine ila kwa nini baba atumie cheo chake cha u father house kumlaghai na kumtumia huyo bint?
Kama mke ana mapungufu na mume kaona suluhu ni kutafuta mwanamke mwingine basi aende street huko akakutane na wa kum challenge atakayem face kama his equal.
Akishazoea mteremko ataanza na housegirl then mashemeji na hatimaye mabint zake!!!

Na aliyewwambia kuwa tunataka our equals all the time ni nani kwa mfano!!!!!!??????
 
Aisseeee! nawachukia sana house girls hasa wasojitambua!
kumekua na thread nyingi sana humu wanaume wengi wanazungumzia kuwamega ma house girls. Hivi nyie ni wanaume mliokamilika kweli!!! ulijari sio kusimamisha na kudunbukiza kwenye kila shimo mwisho wa siku mtapanda hadi ndugu zenu na wanenu.

Mi huwa nawadharau sana wanaotembea na mahousegirl coz hata kufua chupi hawajui sembuse kusafisha u^chi???? hivi wanawake huko nje wameisha hadi umchukue house girl?! mara ooh kanivalia kanga moja... ooh kaniambia nipange zamu!! shenx type !!

Mkome mkomae na ujinga wenu! btw michepuko sio dili baki njia kuu!!!

Hahahahahaaa!!! It's funny how you analyse things, lol. Sasa unaposema unawadharau house-girls kisa hawajui kufua pichu are these not the same people you entrust your household into their care, wanawapikia na kuwafulia, they look after your kids and run the family, mweeehhh!

Just so you know, these "housegirls" are also humans, ni wanawake kama ww ulivyokua mwanamke, just because they do a lowly paid job doesn't make them lowlifes, jamani hebu jifunze kuwaheshimu binadamu wote, damn!
 
Siku mtakapo acha kuwadhaurau house girls na kuwaona kama wanawake wenzenu ndio mtashinda (stop looking down on house girls) tofauti yake na wewe labda ni elimu tu na wewe unafanya kazi kwenye ofisi na yeye ofisi yake ni nyumbani kwako. when it comes to sex,caring and compassion you r equal or even she is better than u so be careful.

Salute to you!!! Yaani hapo umenena haswaa!!!
 
Hg ni mtoto wa nyumbani kaa watoto wengine
ukiona mme wako ameweza kutembea na hg weka mbali na watoto
hata watoto wake wa kuzaa hashindwi kula

Huo mfano wa Hg na "mtoto wa kuzaa" hauendani kabisa...hg ilmuradi hana uhusiano wa damu na wewe ni halali tu kama unavyomla Mama House...Sharti ni kuwa ifanywe kwa uangalifu ili Watoto na Mama House wasielewe chezo linavyokwenda...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom