Anita Baby
JF-Expert Member
- Oct 2, 2011
- 1,265
- 541
- Thread starter
- #181
hatujui kuishi vizuri na wadada wa nyumbani.
Kama unamchukulia kama mdogo wako, unamfanyia na kumtimizia mahitaji kama anayostahili binadam wa kawaida lazma akupende. Na baba bazazi atakavyoanza kummendea lazma atakwambia tu.
Hg wala hana uchafu, labda mama mwenye nyumba ndo mchafu, sababu anakufulia na kukuwekea safi nyumba yako atakuwaje mchafu.
Dont ever under estimate the power of hg, ila cha kufanya tu kama hutaweza kuishi bila hg basi lazma umpemde na uwe nae karibu kwa usalama wa ndoa yako
hop hawa watu huwajui na km unawajua umebahatika. kuna mdada alileta thread hapa kwamba alikuwa anaish na hg yatima na alimpenda kuliko ndugu zake. lkn mwisho wa yote alizaa na mmewe. ni wachache wanaoweza kukumbuka hisan lkn weng wao wanafanyaga mapinduz hata hujipendekeze vip moyon anakucheka.