Lekanjobe Kubinika
JF-Expert Member
- Dec 6, 2006
- 3,020
- 577
What makes the difference anatomically and psychologically?
Mkuu kuna wanwake wanawadharau sana hawa watu
Lakini hawa pia ni binadam na ni wanawake kama wao na pia wengine wameweza hata kuwalipizia kwa kuwachukulia waume zao.
hiyo ni kutafuta sababu ya kuhalalisha ufirauni...
Wakati anakuja kufanya kazi ilo geti halikuonekana ee? Vipi mkeo akifanya hivyo na house boy kwa kisingizio cha geti utashangilia eti? Na ataonekanaje mbele ya familia na jamii kwa ujumla? Yaani hata hicho bado ni kisingizio tu cha tamaa za mwili.
Gosh! Nawatakia 7 7 njema!
House Girl ni Mwamamke
BarMaid ni Mwanamke
Saluni-Lady ni Mwanamke
Wanatia kinyaa,mpaka ufikie kulala na housegirl wewe ni mchafu uliyepitiliza kama suala ni mwanamke unaweza lala hata na mwanao wa kuzaa.
Yaani wewe unataka kuhalalisha ufuska na hsegal ?,
na mkeo akijihalalisha na hseboy je itakupendeza machoni pako?,
acha kuhalalisha haramu iwe halali wewe,
hsegal kwa mwanaume(boss) wake ni haramu,
vivyo hivyo hseboy kwa mwanamke (boss) ni haramu.
Ukitaka kufanya ufuska fanya nje ya nyumba yako,
ukiendekeza kufanya ufuska ndani ya nyumba yako ipo siku,
utafanya ufuska na watoto/dada/mama zako kwa kisingizio cha eti ni ''mwanamke'''
hsegal/hseboy atapata mpenzi ya nje ya nyumba anayofanyia kazi, lakin siyo ndani,
ni haramu,dhambi,kosa,shubiri ndani ya hiyo nyumba na jamii nzima.
Naona jukwaa la mahousegal hapa.....
Kimsingi kabisa...HAKUNA sababu inayohalalisha kutembea na housegal wako nyumbani tafuta hata wa jirani....
Yaani wewe unataka kuhalalisha ufuska na hsegal ?,
na mkeo akijihalalisha na hseboy je itakupendeza machoni pako?,
acha kuhalalisha haramu iwe halali wewe,
hsegal kwa mwanaume(boss) wake ni haramu,
vivyo hivyo hseboy kwa mwanamke (boss) ni haramu.
Ukitaka kufanya ufuska fanya nje ya nyumba yako,
ukiendekeza kufanya ufuska ndani ya nyumba yako ipo siku,
utafanya ufuska na watoto/dada/mama zako kwa kisingizio cha eti ni ''mwanamke'''
hsegal/hseboy atapata mpenzi ya nje ya nyumba anayofanyia kazi, lakin siyo ndani,
ni haramu,dhambi,kosa,shubiri ndani ya hiyo nyumba na jamii nzima.
Bora na wewe umesema kha!!!!!
Mahouc-gel wengi wanaokuja hapa home ni wachawi...!! mara nyingi hawamalizi mwezi wanaondoka coz wanashindwa kupaa usiku wakiwa ndani ya nyumba!!!
Mi mbina nasemaga sana tu DA
Mhesim sana huyu mtu
Mkuu twambie ukweli ni wachawi kweli au mama anawashtukia mapema.
Na wewe hao wachawi unawafyatua wapi?