Holoholo
JF-Expert Member
- May 10, 2023
- 8,703
- 19,589
Uzi maalumu wa visa tulivyo wahi kufanyiwa na wake zetu wawapo wajawazito,ambavyo baada ya kujifungua havitokei.
Na wewe mama,ulipokuwa mjamzito, uliwahi kumfanyia kisa gani mumeo mpaka leo ukikumbuka unacheka?
Je,ulifanya kimaksudi au kwa kudhamiria? Dah mke wangu ana mimba changa,ananichukia balaa akiniona.
Tiririsha kisa chako hapa. kwenye mastori mtakuwa naye Seran. Na log off
Na wewe mama,ulipokuwa mjamzito, uliwahi kumfanyia kisa gani mumeo mpaka leo ukikumbuka unacheka?
Je,ulifanya kimaksudi au kwa kudhamiria? Dah mke wangu ana mimba changa,ananichukia balaa akiniona.
Tiririsha kisa chako hapa. kwenye mastori mtakuwa naye Seran. Na log off