Mzee Bob,
Ninakusikia, yaani watu kama Mahatma Ghandi, Nelson Mandela ninaweza nikaelewa kuwa ni intellectuals, kutokana na maneno yao na vitendo vyao, na waliweza kuyabadili mazingara waliyoyakuta, kutokana na maneno yao na vitendo,
Watu kama Martin Luther King kule US, kina Malcom-X waliojifunza kusoma wakiwa jela, wakatoka na kufanya vitu vikaonekana, yes, lakini kutumia hela za nji yetu kwafurahisha wafadhili, halafu ukiaacha urais wanakupa fadhila ya wema wako kwa kutumia hela za walipa kodi, kwa kukupa kazi huko nje, yaani kwao wazungu, huku nyuma umeacha wananchi hawana umeme wewe unaruka tu majuu, halafu unakuwa intellectual!
Mkapa sio intellectual, tusiharibu maana ya maneno ya watu jamani!