Bunsen Burner
JF-Expert Member
- Feb 25, 2009
- 909
- 1,099
Yaani jamaa kwanza Chama chake tawala ndo kilipitisha hizo'tozo gandamizi' kwa 100%, sasa tena anataka upinzani uzungumzie na kulalamikia kuhusu hilo tena.... kaazi kwelikweli.Wajinga kweli,halafu akiongea ndo tozo zitatoka?
Kuandamana hayataki acha yapigwe,walifikiri tozo ni kwa upinzani tu