musa yasini
Member
- Dec 15, 2020
- 28
- 36
naona kila mtu ana fikra tofauti ,tumuache mama afanye kazi tumpe muda tumuone jamani, haya ya kutuuza yatoka wapi tena? tumpe vigelegele tu kwa mwanzo mzuri then akiharibu tusemeee maana katupa uhuru huooo!!!!!!!!!!!!!!!Sawa mkuu ngoja mama atunufaishe wote