The Palm Tree
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 7,950
- 12,549
Nimezitazama na kusikiliza hotuba zote za viongozi hawa wawili kupitia YouTube.
Ya Mbowe nimeisikiliza na kuitazama kupitia MwanaHalisi Youtube Channel na takwimu zinaonesha kuwa imesikilizwa na kutazamwa na watu 1,300,000+ hadi kufikia leo tarehe 17/5/2020 saa 5:50 usiku.
Ya Rais Magufuli, nimeitazama na kuisikiliza kupitia East Africa Radio YouTube Channel na mpaka kufikia saa 5:50 usiku leo tarehe 17/5/2020 hotuba yake ilikuwa imesikilizwa na kutazamwa (views) na watu 230,000+
Yet, bado kuna watu wanasema CHADEMA chini ya Mbowe imekufa. Je, mtu akisema wasioitakia mema Chadema wanajilisha upepo nitakuwa ninakosea kweli?
Hii ni dhahiri shayiri kuwa, takwimu hizi zinatoa taswira ya matokeo ya Uchaguzi Mkuu mwaka huu 2020 iwapo uchaguzi utakuwa FREE and FAIR kama ilivyo kwa watazamaji wa YouTube channels hizi ambazo hakuna wizi wala uchakachuaji wa matokeo.
Reference: Kila mwenye computer ama simu yake aingie Youtube channels hizo ku-verify hiki nilichokiposti hapa.
Ya Mbowe nimeisikiliza na kuitazama kupitia MwanaHalisi Youtube Channel na takwimu zinaonesha kuwa imesikilizwa na kutazamwa na watu 1,300,000+ hadi kufikia leo tarehe 17/5/2020 saa 5:50 usiku.
Ya Rais Magufuli, nimeitazama na kuisikiliza kupitia East Africa Radio YouTube Channel na mpaka kufikia saa 5:50 usiku leo tarehe 17/5/2020 hotuba yake ilikuwa imesikilizwa na kutazamwa (views) na watu 230,000+
Yet, bado kuna watu wanasema CHADEMA chini ya Mbowe imekufa. Je, mtu akisema wasioitakia mema Chadema wanajilisha upepo nitakuwa ninakosea kweli?
Hii ni dhahiri shayiri kuwa, takwimu hizi zinatoa taswira ya matokeo ya Uchaguzi Mkuu mwaka huu 2020 iwapo uchaguzi utakuwa FREE and FAIR kama ilivyo kwa watazamaji wa YouTube channels hizi ambazo hakuna wizi wala uchakachuaji wa matokeo.
Reference: Kila mwenye computer ama simu yake aingie Youtube channels hizo ku-verify hiki nilichokiposti hapa.