Hotuba ya Rais Kikwete 30.6.2012

Hotuba ya Rais Kikwete 30.6.2012

[h=6]better act your words mr. President, fukuza wote na wanaokubaliana na salary scale iliyopo waombe kazi upya,[/h]
 
Mods endelea kuchomoa post lakini ukweli tutaendelea kuusema; mgomo huu una shinikizo kutoka kwa upinzani hizi ni hujuma za wazi dhidi ya serikali. Tangu Mh. Raisi atoe hotuba ni takribani masaa 24 mbona jumuiya ya madaktari haiji na kukanusha yale yaliyosemwa na mh. Raisi? Bado tunauliza wizi wa vifaa na dawa kutoka kwenye hospitali za serikali ni nani wahusika wakubwa kama sio hawa hawa madaktari ambao leo hii wameshika bango wakidai vitendea kazi duni? Inakuwa vifaa vinavyoharibika ni hospitali za serikali tu? Tunachowaomba madaktari wajiangalie miongoni mwao wasaliti ni wengi; wananchi tuansema liwalo na liwe kama noma acha iwe noma
If you dare to talk the truth then let the truth prevail other than that you will be a coward!!!!!!!!
Chama
Gongo la mboto DSM

umenena sana mkuu,hawa madaktari wanatumiwa ila hawajielewi.hotuba ya kikwete imetufungua macho
 
ukweli ni kwamba taarifa zilipelekwa polisi usiku uleule cha kushangaza ni response ya polisi maana hawakuchukua hatua zozote kama vile kuweka vizuizi ktk njia zote pia yule mtu wa usalama aliyekuwa anafanya naye mazungumzo hakusaidia bali alisamabaa kinamna hapo ndo maana jk na watu hao anaosema amewaagiza wanapata kihoro

kwani walipomteka huyo dr walikua wanatumia roketi ama helcopter?
Yule mwenzake angeweza kabisa kuwafuatilia hadi mwisho.
Na kwanini huyo doctor mwenzake ully hajafahamika.
 
Hujui ulisemalo sio kosa lako ni tatizo la kuwa na akili mgando

unacekesha kweli.kama ww ni daktari kwanini mnaiba madawa huko hospitali mnaenda kuuza kwenye hospitali zenu binafsi nhambaf zenu.

af kwanini mnaacha wananchi wasio na hatia wanakufa kisa eti nyie mnadai milioni saba????????
 
Jamani hivi ni kwanini Serikali haitaki kusema kuwa "MADAKTARI WANADAI MAZINGIRA BORA YA KAZI NA SIO MISHAHARA NA POSHO" NIFEDHEHA KWA MKUU WA NCHI KUONGEA UONGO. Hii ni kupandikisha chuki kwa Wananchi dhidi ya Madaktari kuwa hawawajali wanajijali wenyewe hili jambo ni baya sana ukiliiangalia kwa undani ama kwa kina madhara yake ni makubwa.

JK na Serikali yako "DHAIFU" muache mara moja kupotosha UMMA kuhusu suala la MGOMO WA MADAKTARI

Mazingira bora ya kazi ni kiini macho tu, kwa nini na nyie hamtaki kukubali kuwa madai yenu ni nyongeza ya mishahara na posho? Kama ni hivyo embu ondoeni basi madai ya mshahara na posho mbakishe vifaa na madawa hospitalini...
Acheni kudanganya umma, matumbo yenu ndo yanayowasukuma kuua watanzania wenzenu wasio na hatia. Roho zinzotaabika hivi sasa zitawahukumu, mtaendelea kuishi kwa dhiki na roho zenu mbaya hadi pale mtakapoufahamu wajibu wenu kwa roho zetu.
 
JK anasema serikali haihusiki na kutekwa kwa Dr Ulimboka, kwanini watekaji mara kwa mara walikuwa wanamtaka aseme ni nani aliye nyuma ya mgomo huo wa madaktari??, lazima serikali ndo imefanya huo utekaji na vyombo vyake vya usalama, hayo maneno mengine yanabaki kuwa siasa tu, ila Mungu mkubwa ukweli utajulikana tu,
 
inajulikana wazi kabisa kuwa serikali ina mkono kwenye hiii ishu..wala haiitaji jicho la tatu kusema hili..
watawala ni muda wao kuwa makini na mienendo yao wanayodhani ni kulinda tawala zao..
 
unacekesha kweli.kama ww ni daktari kwanini mnaiba madawa huko hospitali mnaenda kuuza kwenye hospitali zenu binafsi nhambaf zenu.

af kwanini mnaacha wananchi wasio na hatia wanakufa kisa eti nyie mnadai milioni saba????????

Acha usabiki wa kipuuzi na kijinga,
 
anasema serikali haihusiki na mateso ya ulimboka,hata kichaa anaweza kugundua kuwa wanahusika moja kwa moja.

[h=6]better act your words mr. President, fukuza wote na wanaokubaliana na salary scale iliyopo waombe kazi upya,[/h]
 
kachoshwa na madaktari au kachoshwa na urais?

hajachoshwa na chochote kati ya hivyo ndio mana amewaambia ukweli mchungu hao ngedere,kama hawataki kazi waende zao wanakotaka.upo apo?
 
Lazima kuwe na suruhisho la kudumu katika tabia hii inayojijenga ya kuingiza siasa katika kila kitu especially kwenye mambo yanayogusa Maisha yetu Madaktari kajiungeni na vyama vya siasa muendeleze harakati Huko siyo mtumie kodi zetu
 
inajulikana wazi kabisa kuwa serikali ina mkono kwenye hiii ishu..wala haiitaji jicho la tatu kusema hili..
watawala ni muda wao kuwa makini na mienendo yao wanayodhani ni kulinda tawala zao..
Fanya uchunguzi wako weka facts hadharani kila mtu atakuelewa. ila kubaki kulalama haitakusaidia
 
Hili la ULimboka huwezi likwepa mkuu ni kama kimvuli!
Acheni anasa madai ya madaktari yanatekelezeka!
Hii inchi iko kwa ICU wakati mnaspend kama mko USA!
Punguza safari, ondoa posho,rudisha 303bill zetu zililzoko USWISS,uza V8(SUZUKI NEW MODEL NA RAV 4 TOSHA SANA) kwa viongozi other than mawaziri!
All the best kama utatekeleza maoni yangu!
 
Huna hoja.

Waliyokubaliana kayasema na ambayo serikali imekataa na hayo kayasema waziwazi na ambayo hawajakubaliana kayasema waziwazi na kasema asiyeyataka hayo ambayo serikali imeyakataa aache mwenyewe kazi. Nini zaidi usichokielewa?


Kama huna hoja kaa kimya kama wenzako.
Hatutaki Rais mto porojo tunataka Rais Mtendaji, hata kusema kawafukuza kazi tu hawezi, anaweza nini sasa. bla bla bla bla kila kitu bla bla bla utafikiri mtoto anajifunza kuongea
 
wawe wanampa chakula kabla ya kuhutubia mitandao! pathetic!
 
Hili la ULimboka huwezi likwepa mkuu ni kama kimvuli!
Acheni anasa madai ya madaktari yanatekelezeka!
Hii inchi iko kwa ICU wakati mnaspend kama mko USA!
Punguza safari, ondoa posho,rudisha 303bill zetu zililzoko USWISS,uza V8(SUZUKI NEW MODEL NA RAV 4 TOSHA SANA) kwa viongozi other than mawaziri!
All the best kama utatekeleza maoni yangu!
Zote hizo wapewe Ma Dr pekee si ndio?
 
Who cares? We have read and heard alot. Its neither I nor you who cares. I and You better be silent for Gods sake

Watu wengine aisee, kulikuwa kuna umuhimu gani sasa ku quote post yote hiyo! Mnasumbua wanaotumia simu kusoma
 
[h=6]Baada Ya Hotuba Maswali Yafuatayo Yameibuka Akilini Mwangu;
1.kwanini Madaktar Walimng'ang'ania Ulimboka Awe Kiongoz Wao Ktk Mazungumzo Na serikal Wakat Si Mhanga Kama Wao?.
2.Kwanini Nae Ulimboka Alipenda Kuingilia Mgogoro Huu?
3.kwanini Timu ya usuluhish toka serikalin ilihofia uwepo wa ulimboka na ikamkataa lakin kikwete akaruhusu awepo tu?.
4.kama Serikal Ilifikia Makubaliano Aloyataja Kwanin Madokta Hawaridhik ? Nini Bado?
5.Wanaharakat Kina Nkya Na Wenzio Hiv Wanayajua Yotehayo? Kwanin Nao Wanawasapot Madokta ?.
???.[/h]

Hawa akina Nkya nao ni waganga njaa tuu. Watu wanakufa wao wanaropoka tu! Wao ndo wangekuwa wa kwanza kuwatuliza Drs. Na kuwaomba waendelee na mgomo. Hawafai kabias!
 
Nilitamani kusikia upande wa pili wa madktari kuhusu hotuba hii,ambao kimsingi serikali inajitetea.mujibu wa ****** kati ya madai 12 ya madktari wameshughulikia saba..yaani nusu ya madai.ila ukisoma kwa makini ni madai 3 tu.Ndio yameshughuulikiwa kwa hali ya fulani kuridhisha.Mengine bado.Sasa huwezi kukaa na kuhutubia Taifa kwa kusolve mambo machache wakati Mengi ya Msingi bado.

MAADAI MATATU YALIOSHUGHULIKIWA
Dai namba saba
kuhusu Green Card tena ,hili limeanza kufanyiwa kazi.Tuombe likamilike kama walivyoomba,maana kuanza si kukamilisha kwenye
Dai namba nane
Blandina Nyoni katibu wa wizara alianza kuondolewa na pinda then baraza jipya likamuondoa waziri wake
kumi na mbili.
Posho imeongezwa toka elfu kumi mpaka 100000.si kwa kiwango walichotaka madktari walau si mbaya lakini.
MAJIBU YA MADAI MENGINE NI POROJO
1. Posho ya kuitwa kazini (on call allowance) iwe asilimia 10 ya mshahara....kikwete amekataa kwa kwa kusema kuwa daktari anaweza asiende kazini akalipwa kwa sababu ina base kwenye mshahara. kumbuka pinda alisema hiyo 25 wanayolipwa sasa waliongeza kwa dharura wakisubiri bajeti.ahadi hii ndio uliwafanya warudi wakiamini kuwa kwenye bajeti ijayo(hii) wataongezewa kama alivyokubaliana. Hawajaongeza kama pinda alivyoahidi.kimsingi hapa pinda aliwadanganya madktari LAIVU,na amekiuka makubaliano yao. sasa kwa nini wasichukie?.2. Posho ya kufanya kazi katika mazingira hatarishi (Risk allowance) iwe asilimia 30 ya mshahara..ki msingi hp kuna porojo za hali ya juu.serikali inasema inafanya research kugundu hayo mazingira hatarishi na kujua nani anapaswa kulipwa.kwa maana hyo hilo jambo si la mwaka huu .ikumbukwe hii posho ilikuwepo zamani ikaondolewa..kwa hyo si dai jipya bali walikuwa wanaomba warudishiwe na halikuhitaji research ya mwaka mzima..mwezi mmoja ulitosha na ilipaswa kuingizwa kwenye bajeti hiii.serikali hapa imefanya usanii na imeonyesha haina nia ya kulipa. Sasa kwa nn wasigome? 3. Madaktari wapatiwe nyumba grade A au posho ya makazi ambayo iwe asilimia 30 ya mshahara,hii ni sawa.kodi ya nyumba si chumba ni kati ya laki 2.5 mpaka 5 kwa Dar.baada ya serikali kuongeza mshahara hadi kufika 1.2 kwa madr wanaoanza kwa hyo 30% ina range hapo hapo. Kama hili Ngumu wajenge,serikali imesema ina mpango wa kujenga nyumba 90 za tena za chini.lakini madktari bingwa nchini pekee wako zaidi 500.Bado madokta wa kawaida,Madktari wanapaswa kujengewa magorofa tena ya kisasa kama wale vijana wa ofisi ya rais pale makumbusho kuelekea victoria. 4. Posho ya kufanya kazi katika mazingira magumu iwe asilimia 40 ya mshahara.Hapa kuna madai ya msingi kabisa ,mambo ya kusema udaktari ni wito,wamepitwa na wakati.kwa hiyo madktari wa nchi zilizoendelea wao hawana wito?huu ni upuuzi kabisa.Nia ya madktari hapa ni kuwavutia madktari kwenda vijijini kufanya kazi,hata hapaitaji research hata kidogo.kwa kuwa hii posho iliwahusu madaktari waliopo kwenye mazingira magumu na serikali inayajua hayo mazingira yao wapi nchini,serikali ilipaswa kulipa haraka sana 5. Madaktari walipwe posho ya usafiri ya asilimia 10 ya mshahara au wakopeshwe magari...jibu la hapa ni la kienyeji.kwamba wafuate utaratibu mikopo ya wafanyakazi wa serikali,madoctor wanajua kuwa hzo taratibu zipo, hapa madktari waliomba special favour,kama wabunge wanavyofanyiwa si lazima yawe magari ya gharama hata ya milioni kumi.Tena wanaweza kukatwa kwa Muda mfupi kwa kuwa mishahara yao itakuwa mikubwaa.hili limewauma maana wanaona hawathamini,wakati wabunge wengine hata darasa la saba hawakufika mfno Mbunge anayemiliki hoteli ya Lakairo mwanza,jaama hajasoma kabisa.6. Madaktari wanaoanza kazi walipwe mshahara wa shilingi 3,500,00/= kwa mwezi..hilo dau.sio realistic at least milioni mbili kwa wanaonza kazi,warudi mezani wakubaliane kwenye hili,serikali imesema imeongeza kati ya asilimia 15 mpaka 20 ya mshahara wao,hii si nyongeza hii ni "COLA" cost of living allowance kutokana na inflation rate ambayo imefika 20% kwa mujibu wa BOT,huwezi kuiita hyo ni nyongeza,mshahara ni ule ule kwa sababu thamani ya shilingi imeshuka na gharama zingine za maisha zimepanda,so mpaka sasa serikali hajaongeza mshahara kwa madktari. Sasa kwa nn wasigome?7. Madaktari wapatiwe Green Card za Bima ya afya(linafanyiwa kazi) 8. Hatua za kinidhamu zichukuliwe dhidi ya Watendaji Wakuu wa Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii...Hili limefanyiwa kazi 9. Viongozi wa Kisiasa kulazimisha kupewa rufaa nje.jibu la serikali kuwa wakatae wakiambia wafanye hivyo na viongozi wa serikali.hapa hakuna political will ya kusolve.kama wangekuwa wanauwezo wa kukataa.basi wasingeomba serikali.hapa tatizo bado lipi,kwa nn wasigome?kazi yao zinaingiliwa na wana siasa?tena wengi ni mawaziri! 10. Madaktari waliofukuzwa warudishwe kazini....wakati wadai wengine warudishwe wengine wanafukuzwa.So hiii dai liko pale pale 11. Huduma za afya ziboreshwe nchini.hapa hata kipofu anaona kila ukienda muhimbili mashine ya T-scan mbovu.zaidi ya miezi sita sasa. 12. Posho ya uchunguzi wa maiti iongezwe. Ndugu Wananchi(done)
Kusema kwamba Serikali haihusiki, wakati anajua serikali ni mmoja wa Watuhumiwa wakubwa, kama Rais inaonekana kama anataka ku-influence majibu ya Tume iliyoundwa kuchunguza sakata hili. Kama Tume iliyoundwa ikija kugundua kwamba Serikali imehusika, unategemea itasema kweli wakati Mkuu mwenyewe ameshaitoa kwenye uhusika! Kama anaanza kuwatoa watuhumiwa ambao wangepaswa kuchunguzwa, sasa hii Tume itakuwa na maana gani au ni muendelezo tu wa kula hela za "wajinga" kama walivyofanya kwenye Tume zilizopita kama za Richmond, Jairo n.k.

Kweli nimeamini Dhaifu ni dhaifu tu hata akinywa RED BULL
 
Back
Top Bottom