Hotuba ya Rais Kikwete 30.6.2012

Hotuba ya Rais Kikwete 30.6.2012

His own conscience is eating him away, litle by litle tearing out his soul, and finally he will fall down once again, miserably!
 
Ndugu zangu wana JF, habari kwenu nyote. Hapo jana nilipata kusikiliza hotubu ya Rais wa Tz ile anayotoa kila mwisho wa mwezi. Nilishangazwa sana na uwezo wa Raisi wetu kuwa juu ya sheria. Ndani ya bunge(mhimili muhimu wa Tz) spika alitangaza sheria mpya( Sheria ya Anne Makinda ya mwaka 2012- Mwiko kuzungumzia shauri lililo mahakamani) ambayo kutungwa na kupitishwa kwake hakukufuata taratibu zetu za utungaji wa sheria za nchi. Na kama ilikuwa nu kanuni mpya ya bunge, pia nampa hongera kwa umahili wake mkubwa wa kuitunga, kuizindua na kuanza kitumia ndani ya saa zisizozidi mbili. Hayo yote tisa, kumi ni pale ambapo pamoja na mambo mengine Raisi alikwea na kupaa juu ya sheria hiyo mpya na kuanza kuzungumzia swala ambalo bungeni lilitajwa kuwa liko mahakaman. Maswali; Je raisi yuko juu ya sheria mpya ya Makinda? Kwa kuzunguzia swala hilo hakuwa anaingilia uhuru na utendaji wa mhimili mwingine ambao ni mahakama kama ilivyosemekana kwa wabunge? Televisheni ya taifa TBC1 ilikatazwa kurusha habari ambayo iko mahakamani hasa ile ya Madaktari, sasa ikawaje kurusha hutuba yenye habari iliyo mahakamani? Je nikisema kesi zote za Mahakamani zenye masilahi binafsi ya viongozi wa juu wa serikali zinaendeshwa si kwa kufuata sheria za mahakama bali matakwa ya hao viongozi ntakuanimekosea?

Mwisho naomba kwa pamoja tumpongeze Raisi kikwete kwa mafanikio aliyoyafikia hapo jana kwa kupaa mpaka juu ya sheria ya Makinda -spika wa bunge.
Nina ndugu yangu amepote anaitwa Uhuru wa Mawazo, Ninamtafuta na yeyote atakae muona naomba ampe taarifa aliye juu ya sheria au amuache aendelee kwenda atakako maana nimemwambia mara nyingi kuwa Asiyesikia la mkuu huvunjika guu
 
Tukio hili halina tofauti na Mkapa alivyomfanyizia Jenerali Ulimwengu..

Kuna limit katika kuchezea mamlaka ya nchi, ulli amuulize yaliyomkuta Ulimwengu kimya hadi alipoondoka madarakani akandika weeeeeeeeee hadi akachoka Mzee anadunda
 
Nimesikitika sana kama kweli hukutaka raisi aongelee suala la madaktari.....sijui ulitaka kusikia nini? eti unasema kuhusu sheria za bunge.....hizo sheria zipo ili kumsaida spika aongoze bunge...WACHAGA BANAAAA!!!!! Any way karibu jf naona umejiunga jana
 
Nimesikitika sana kama kweli hukutaka raisi aongelee suala la madaktari.....sijui ulitaka kusikia nini? eti unasema kuhusu sheria za bunge.....hizo sheria zipo ili kumsaida spika aongoze bunge...WACHAGA BANAAAA!!!!! Any way karibu jf naona umejiunga jana

Wewe unajaribu kuonyesha ni kwa kiasi gani ulivyo na uono na uelewa mdogo. soma vizuri thread, Swala hapo juu sio kutokutaka raisi kuliongelea bali raisi kuwa juu ya sheria. ukiendelea kuwa hivyo hata sisi tuliojiunga jana tutakuacha ukiendelea kukalili kidato hichohicho cha SLOW LEARNER,nipishe nipite
 
President Jakaya Kikwete, a handsome smiling dictator is a fundamentalist moslem who has been always embraced by both western and Islamic countries with much economic support! Tanzanians are unfortunate because although they are blessed with a good number of natural resources, their country is still in a vicious cycle of poverty.

While Kikwete is the first beggar president in the world, corruption is the daily lifestyle in his country. His secret meetings with Iranian officials has led Tanzania to fall under the influence of Moslem radicals. As a consequence, UAMSHO (a terrorist group) which is financially supported by Iran, has emerged in the Island of Zanzibar.

The group is aiming at separating Zanzibar from the Union with Tanganyika/mainland and have its own Islamic state. President Kikwete is quiet and happy with that terrorist movement!
 
Tahrir utaenda na nani wewe?

Tumeanza kufuatilia deal zote za madaktari Tanzania kwa ufupi

a. Hawafanyi kazi masaa yanayotakiwa katika hospitali ya taifa muda mwingi wako katika hospitali binafsi wanavuta kati ya tsh 300,000-1,000,000/- kwa siku huku wananchi maskini wakiwapa foleni na kuwapangaia tarehe bila sababu afadhali tuajiri wageni ambaye atafanya kazi full time na wagonjwa wetu watatibiwa

b. Wanatumia vifaa vya serikali (hospitali ya serikali) kufanya diagnosis ya wagonjwa kutoka kwenye hospitali na dispensary zao bila kuilipa Muhumbili chochte, hivyo kufichakaza vifaa vya hospitali, kuongeza foleni kwa wagonjwa muhimbili kupata majibu yao vipimo vyao..tabia chafu na morally inaapropriate..

c. Viongozi wa vitengo (wakuu wa idara) ambao ni madrs kuuza vifaa na spea za goverment hospital facilities kwa private hospital hivyo serikali kuishia kuwa na hasara ya kununua kila mwaka, ...

Bado mengi yataibuka..bado saana..issue yao
Pambaf wa mwisho wewe kwanini siku zote huendi mahakamani kwaajili ya huo wizi wa vifaa unakimbilia kusemea jf hapa sio takukuru wala mahakamani wala sio polisi
 
President Jakaya Kikwete, a handsome smiling dictator is a fundamentalist moslem who has been always embraced by both western and Islamic countries with much economic support! Tanzanians are unfortunate because although they are blessed with a good number of natural resources, their country is still in a vicious cycle of poverty.

While Kikwete is the first beggar president in the world, corruption is the daily lifestyle in his country. His secret meetings with Iranian officials has led Tanzania to fall under the influence of Moslem radicals. As a consequence, UAMSHO (a terrorist group) which is financially supported by Iran, has emerged in the Island of Zanzibar.

The group is aiming at separating Zanzibar from the Union with Tanganyika/mainland and have its own Islamic state. President Kikwete is quiet and happy with that terrorist movement!

542944290.jpg
 
Nimesikitika sana kama kweli hukutaka raisi aongelee suala la madaktari.....sijui ulitaka kusikia nini? eti unasema kuhusu sheria za bunge.....hizo sheria zipo ili kumsaida spika aongoze bunge...WACHAGA BANAAAA!!!!! Any way karibu jf naona umejiunga jana
we fikiri chanya na toa hoja si umbea sinaga tabia ya kutuka lakin leo umenikera sasa wachaga wamekujaje hapo,jifunzen kuoneza ufaham na kujibu hoja na sikuleta ubaguz hapa
 
wewe ndiyo mpuuzi,utafanyaje majadiliano na mtu ambaye hataki kuja mezani kukaa nawe? Serikali imewaita na kuwabembeleza sana hawataki,mahakama nayo imewaita na pia ikatoa amri wasitishe mgomo hawataki,wewe ulitaka serikali ifanyekje mbona unailaumu serikali bure si vizuri acha unafiki mbona unaegemea upande mmoja kulaumu serikali tu kwa nini usiwalaumu na madaktari wadai madai yao kwa busara na wala si kwa njia ya mgomo manake ndugu zetu wanakufa roho zao hazitarudi mgomo ukiisha,bila shaka wewe utakuwa mfuasi wa chadema manake nyie chadema inasemekana ndiyo washawishi wakubwa wa fujo,maandamano na migomo yote hapa nchini wenyewe nmnafurahia ili serikali ya CCM ionekane imeshindwa kutatua kero na matatizo yanayowakabiri watanzania!
Yale Maneno yako iliyo yakariri naona umeyaacha Leo "Tumeshawazoea matusi,jazba,fitina,uzembe,udi ni,ukabila,chuki binafsi,mbwembwe,kukosa hekima na busara hizo ni baadhi ya tabia chafu za Chadema,wanachama na viongozi wao! Wewe wala usishangae ukisema jambo lolote linawauma na watakushambulia kwa maneno makali na matusi mazito ,usikate tamaa wewe sema na endelea kuelimisha jamii ya watanzania kokote ulipo kuwa Chadema hawafahi kupewa madaraka kutokana na tabia zao chafu ili kulinda Amani,Umoja na Mshikamano wa watanzania!"
 
Pambaf wa mwisho wewe kwanini siku zote huendi mahakamani kwaajili ya huo wizi wa vifaa unakimbilia kusemea jf hapa sio takukuru wala mahakamani wala sio polisi

Ndio tumeanza kuwafuatilia sasa..achana na zamani...

From now on..ukitumia vifaa vibaya vya hospitali ya taifa kwa biashara binafsi utadakwa
 
President Jakaya Kikwete, a handsome smiling dictator is a fundamentalist moslem who has been always embraced by both western and Islamic countries with much economic support! Tanzanians are unfortunate because although they are blessed with a good number of natural resources, their country is still in a vicious cycle of poverty.

While Kikwete is the first beggar president in the world, corruption is the daily lifestyle in his country. His secret meetings with Iranian officials has led Tanzania to fall under the influence of Moslem radicals. As a consequence, UAMSHO (a terrorist group) which is financially supported by Iran, has emerged in the Island of Zanzibar.

The group is aiming at separating Zanzibar from the Union with Tanganyika/mainland and have its own Islamic state. President Kikwete is quiet and happy with that terrorist movement!

Wewe unafaa sana kuwa padre...aisee, hadithi umefundishwa na nani?
 
Jamaa wamebanwa vibaya sana, nyuzi mia zote ishu hiyohiyo, moderators mbona hizi hamuunganishi na zote ishu hiyohiyo ya madaktari kuwajibishwa?
 
President Jakaya Kikwete, a handsome smiling dictator is a fundamentalist moslem who has been always embraced by both western and Islamic countries with much economic support! Tanzanians are unfortunate because although they are blessed with a good number of natural resources, their country is still in a vicious cycle of poverty.

While Kikwete is the first beggar president in the world, corruption is the daily lifestyle in his country. His secret meetings with Iranian officials has led Tanzania to fall under the influence of Moslem radicals. As a consequence, UAMSHO (a terrorist group) which is financially supported by Iran, has emerged in the Island of Zanzibar.

The group is aiming at separating Zanzibar from the Union with Tanganyika/mainland and have its own Islamic state. President Kikwete is quiet and happy with that terrorist movement!

542944290.jpg

Du yamekuwa haya bandugu!
 
President Jakaya Kikwete, a handsome smiling dictator is a fundamentalist moslem who has been always embraced by both western and Islamic countries with much economic support! Tanzanians are unfortunate because although they are blessed with a good number of natural resources, their country is still in a vicious cycle of poverty.

While Kikwete is the first beggar president in the world, corruption is the daily lifestyle in his country. His secret meetings with Iranian officials has led Tanzania to fall under the influence of Moslem radicals. As a consequence, UAMSHO (a terrorist group) which is financially supported by Iran, has emerged in the Island of Zanzibar.

The group is aiming at separating Zanzibar from the Union with Tanganyika/mainland and have its own Islamic state. President Kikwete is quiet and happy with that terrorist movement!

Mkikosa hoja mnaanza viroja.
 
Back
Top Bottom