Kwa taarifa yako wale wakulima wa Kisukuma au Kikurya, huwa wanakula ugali mkubwa wa dona halafu pembeni kunakuwa na ugali mdogo wa sembe...huo ugali mdogo ndio unafanywa kama mboga...na hayo yote hufanyika sio asubuhi bali ni alfajiri jogoo wa kwanza tu akiwika
Sasa si afadhali hata huo unapikwa asubuhi watu tushakula sana kiporo cha ugali na chai asubuhi alafu freesh tu unadunda mtaani!
Asanteeeeeealiokwambia ugali unaliwa mchana tu ni nani?
Will be there....never thought ugali upo pale. Nimevikinai vya stereo na MiamiNjoo hapa kwetu Iringa keepleft ya uwanja wa samora, kama waelekea down ya ipogolo asubuhi nguna unapata tena nyeupe kabisa haina pumba kwa nyama choma .........
Kama umekulia Dar, lazima iwe BIG news. Mkoani hiyo kitu ni kawaida sana, kutokana na nature ya kazi zao, ambazo nyingi ni za nguvu. Nikawaida sana ukifika mji kama Mwanjelwa Mbeya kukuta ugali na wali viko tayari saa 12 asb. Watu wa minadani ambao hawana nafasi ya kula pia hula ugali ama wali mida hiyo ya asb
[/COLOR]
hii kali zaidi.nadhani watu wa hotel jijini watumie fursa ya kibiashara kuandaa dona asubuhi
mmmmh,
kichuri nasikia kinaongeza nguvu kwa me.
Town ya wapi hiyo! Ni wa Sabasaba?
ni ya kawaida lakini ukiyatafsiri kwa kiswahili lazima ban ikumaliza,kuna bibi mmoja apo tarime mjini mitaa ya ronsoti kila asubuhi akiamuka anatoa matusi kwa mabinti zake ata bila sababu, adi majirani wanaamka, utasikia nyakundo ,msagani, kivumvu cha nyakwenu na mengine siyakumbuki.
kaka umenikumbusha mbali sana wkt nipo primary na kwa nguvu za Mungu now naitafuta shahada ya pili kiroho saaafii.
Ajabu ipo wapi sasa?
Teh teh teh.... Afu ukitaka kuyatamka hayo matusi lazima unywe ubhusara kwanza, make utahisi njaa!!!
Ajabu ipo wapi sasa?
Kwangu imekuwa news
baada ya kukuta mgahawa mmoja jijini Dar wateja wake wakila ugali mida
ya saa mbili asubuhi. Je hii ni kawaida?!
Maoni yako ni yapi ikiwa karibia hotel kadhaa zikaamua kupika saubuhi
chakula kinacholiwa mchana,bila kujali ni ndizi,wali ama ugali na
maharage