mfianchi
Platinum Member
- Jul 1, 2009
- 11,925
- 8,440
Mkuu hakuna wakati mzuri kama wa kujaza fomu za Imprest na hakuna wakati mgumu duniani kwa mtumishi wa umma kama wakati wa Imprest Retirement..
Sasa tabu pale mhasibu akiwa mnoko atataka apige simu kwameneja kuuliza kama kweli ulilala hapo na hiyo bei kwenye risiti ni halali,ah mambo ya kuajiriwa wakati mwingine shida hela kiduchu lakini longolongo zinajaa pipa