Hotel ya bei ndogo Arusha

Hotel ya bei ndogo Arusha

Nimesharudi Tumatu mkuu........nitakuwa huko next w/end.........
Duh Tumatu ndo wapi Preta poa karibu Dar ila nitakuwa Mwanza next weekend vipi huko sio mwenyeji?
 
Last edited by a moderator:
Duh Tumatu ndo wapi Preta poa karibu Dar ila nitakuwa Mwanza next weekend vipi huko sio mwenyeji?

Mwanza Nilikuja juzi juzi.......nikafika Jembe ni Jembe na Salma Cone.........ila sikukaa sana.........Mwanza nitarudi tena wallah..........

Tumatu ni Yaeda Chini huku........
 
Mwanza Nilikuja juzi juzi.......nikafika Jembe ni Jembe na Salma Cone.........ila sikukaa sana.........Mwanza nitarudi tena wallah..........

Tumatu ni Yaeda Chini huku........

Nina zaidi ya mwaka sijaenda Mwanza Preta hotel gani nzuri ya kati?
 
Last edited by a moderator:
Matejoo utalala bure ila begi utuachie kwa ulinzi ImageUploadedByJamiiForums1421573479.605406.jpg
 
Mwanza Nilikuja juzi juzi.......nikafika Jembe ni Jembe na Salma Cone.........ila sikukaa sana.........Mwanza nitarudi tena wallah..........

Tumatu ni Yaeda Chini huku........
Ukuje Mwanza bhana....Sisi wenyeji tupo!.
 
Wakuuu habari leo naelekea Arusha ipi hotel ya bei ndogo wakuuu hapo Arusha ijsyozidi alfu hamsini kwa siku au chini ya hapo??naomba msaada na ukilala unapewa rist ya malipo yako??

Nadhani MZIBHAZI umeshafanya maamuzi manake ushauri ni mwingi sana na wa kutosha...
kwa nini wadau (mnaoendelea kuchangia hadi leo) msianzishe uzi mwingine wenye KICHWA CHA HABARI kinachoendana na uchangiaji wenu?
Ishu inayoletwa humu kwa uelewa wangu inatakiwa iguse watu zaidi ya wawili na iendane directly/indirect na kichwa cha habari...vinginevyo kama mna maongezi yenu basi mu- inbox huyo swahiba wako ili muendelee kuchat!!!
 
Kama sio Mujahidin simshauri alale karibu na hapo maana jamaa saa9 alfajiri wanaanza kutoa vitisho km huendi kusali....chumba ulicholala ndio kaburi lako...shuka ulilojifunika ndio sanda yako...!

Hahahahaaa thank u jf.
 
We unaulizia hoteli ya bei poa alafu unataka na risiti iliukarudishiwe pesa.
Acha ubahilimkuu tumia pesa ikuzoee utapeleka risiti, na pesa itarudi, ukihangaika sana mwisho utakabwa kwa ajili ya kusevu elfu 20000.
 
Nadhani MZIBHAZI umeshafanya maamuzi manake ushauri ni mwingi sana na wa kutosha...
kwa nini wadau (mnaoendelea kuchangia hadi leo) msianzishe uzi mwingine wenye KICHWA CHA HABARI kinachoendana na uchangiaji wenu?
Ishu inayoletwa humu kwa uelewa wangu inatakiwa iguse watu zaidi ya wawili na iendane directly/indirect na kichwa cha habari...vinginevyo kama mna maongezi yenu basi mu- inbox huyo swahiba wako ili muendelee kuchat!!!

Tumekuboa eeeh......tusamehe bure lakini sisi tumependa uzi huu huu..........na tutaendelea hapa hapa.......mpaka mwenye uzi atakaporudi tena Arusha.........
 
Tumekuboa eeeh......tusamehe bure lakini sisi tumependa uzi huu huu..........na tutaendelea hapa hapa.......mpaka mwenye uzi atakaporudi tena Arusha.........

Mupeeee!!!!


hahahahah!!!!!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom