!
!
anauezijua za kati ya 5000 hadi 15000 anishtue tafadhali. Sina haja na risiti wala nini, pawe kimya choo kisafi basi. Vingine home ninavyo so, sio inshu.
!
!
mambo ya ritayamenti sio......unakuwa na vitabu vyako vya risiti ka vitatu hivi au vinne vya rangi tofauti na shughuli tofauti. Cha hoteli, cha usafiri, cha stationery na kingine hakieleweki multi papasi, maisha saafi.
Mkuu hapo karibu palikuwa na kamgahawa matata sana sijui kama bado kapo.Pia kuna Hotel nzuri sana inaitwa Blue Rose kama sijakosea ,ni ya heshima sana yale mambo ya hovyo hayapo ni kama ya kilokole vile inapakana na ofisi za Kilimanjaro Express Bus
Wakuuu habari leo naelekea Arusha ipi hotel ya bei ndogo wakuuu hapo Arusha ijsyozidi alfu hamsini kwa siku au chini ya hapo??naomba msaada na ukilala unapewa rist ya malipo yako??
Hapo ndio safi maana utaenjoy jinsi kinadada wanavyojirahisisha wakati mitaani wanasingizia kudhalilishwa na wanaume....
Mkuu hapo karibu palikuwa na kamgahawa matata sana sijui kama bado kapo.Pia kuna Hotel nzuri sana inaitwa Blue Rose kama sijakosea ,ni ya heshima sana yale mambo ya hovyo hayapo ni kama ya kilokole vile inapakana na ofisi za Kilimanjaro Express Bus
Silver palms hotel, bei last yr mwanzoni ilikua 45k sijui ya sasa. Iko safi sana. No alcohol=(
!
!
mambo ya ritayamenti sio......unakuwa na vitabu vyako vya risiti ka vitatu hivi au vinne vya rangi tofauti na shughuli tofauti. Cha hoteli, cha usafiri, cha stationery na kingine hakieleweki multi papasi, maisha saafi.
Hivi walishawekaga lift pale kaka manake na ile tabia yao ya kuwanyima wateha vyumba vya ground floor mpaka wajaze juu na yale mangazi ni balaa kudadadeki
Ila ni ya ukweli coz iko town.
HahahHahahahah nimecheka kweliKama sio Mujahidin simshauri alale karibu na hapo maana jamaa saa9 alfajiri wanaanza kutoa vitisho km huendi kusali....chumba ulicholala ndio kaburi lako...shuka ulilojifunika ndio sanda yako...!
Jaribu pia Lush Garden Annex,karibu na Florida Bar...utalala na utatamani kurudi hapo tena siku nyingine
Golden Rose bana......au kama anataka hekaheka........aje hapa jirani na kwangu.......Rift Valley.........full self contained........kama anaelewa ninachomaanisha.............