Entim
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 4,024
- 2,271
Wakuu,
Mwenyeji au mwenye uzoefu na hoteli nzuri za Singida anisaidie. Bajet yangu ni minimum TZS 25,000 na maximum TZS 40,000 per night. Sipendi bendi za usiku, stand, nyumba za ibada, nk. Nahitaji utulivu na usalama wa hali ya juu..
Nimekuwa nikitumia hili jukwaa kupata huduma za malazi mikoani, hamjawahi kuniangusha.
Mwenyeji au mwenye uzoefu na hoteli nzuri za Singida anisaidie. Bajet yangu ni minimum TZS 25,000 na maximum TZS 40,000 per night. Sipendi bendi za usiku, stand, nyumba za ibada, nk. Nahitaji utulivu na usalama wa hali ya juu..
Nimekuwa nikitumia hili jukwaa kupata huduma za malazi mikoani, hamjawahi kuniangusha.