Mtu utamchukuliaje kam una mlazimisha aoe halafu inabidi tuu aoe lakini chumbani hauna hisia kabisa hata ufanyeje, mtu kama huyu utamchukuliaje pale mke anapo shindwa pata haki yake ? na sio kwa sababu hasimamishi ana simamisha vizuri ila hata ujitaidi viki ukimuona mwanamke kitu hakisimami hata upige shoti , huyu utamchukuliaje?
Kila kitu kina raha yake mtu una weza hutamani mapenzi ya jinsia nyingine na hata akikugusa una sikia kinyaa , ila ukiguswa na jinsia yako una sisimka una weza zimia kwa kujisikia vizuri au tu kuwa sehemu moja na wa jinsia yako .