Jamani, hivi Hosea katenda dhambi kuwataarifu kwamba ziko kesi 60 ambazo DPP amezikalia? Badala ya kumwandama DPP na kumuuliza kwa nini amekalia kesi hizo anaandamwa mtoa habari! We are not serious.
Mkuu,kama ndivyo jiulize swali hili nani alimpa nafasi hiyo? na je huyo aliyempa nafasi hiyo analiona hilo uliloliona? na kama analiona amechukua hatua gani?Kama anaona na hachukui hatua basi yeye ndiye fisadi namba moja.Ameweka watu ili walinde maslahi yake.Nilishaandika huko nyuma kuwa "DPP kizuizi cha vita vya Ufisadi"..
Ar U serios???bora maisha means KANYAGA TWENDE?It doesn't matter where were going,bora liende,mradi kuna maisha???WOTE LAO MOJA HAMNA WA KUMSEMA MWENZAKE,HAMNA WA KUMFUNGA PAKA KENGELE.NI USANII TU KAMA KAWA WATU WANAIMBISHWA WIMBO NAO WANAITIKIA BILA YA KUUJUA,WALA KUJUA KUSUDI NA MAANA WIMBO WENYEWE.Jamani, hivi Hosea katenda dhambi kuwataarifu kwamba ziko kesi 60 ambazo DPP amezikalia? Badala ya kumwandama DPP na kumuuliza kwa nini amekalia kesi hizo anaandamwa mtoa habari! We are not serious.