Chikaka Sumuni
JF-Expert Member
- May 16, 2013
- 1,337
- 770
Kama yeye si sehemu ya uovu huo basi ajiuzulu ndo tuone anachotwambia ni kweli. Au la anyamaze na aendelee kula mshahara na posho zake mpaka pale tutakapopata serikali yenye kupinga ufisadi na wizi kwa rushwa