Uncle Araali
JF-Expert Member
- Jul 31, 2014
- 944
- 1,257
Acha uongo,mimi ni mwanamwanza na niko Mwanza.Usitusemee.Mwanza hawajawai kuchagua ccm toka mwaka 1995 ukiona ccm imeshinda ujuewizi wa kula hasa nyamagana
Mwanza walikuwa wamefanya mapinduzi makubwa mwaka 2020 kama uchaguzi ungekuwa huru dunia ingeshangazwa.
Majeraha ya uchaguzi 2020 yatakuwa mala mbili ya 2025 chadema ina nguvu sana kanda ya ziwa ikiwa kitovu ni mwanza.
Oooh mara hatolewi mbeya mara ooh makalla hawezi Mbeya. Mbona ndio kawa promoted kuwa RC Dar!! Na huyo katolewa Mbeya ambako ulidai kapaweza.Labda wezi ndio watapokea salamu zako za kijinga ila binafsi nimesikitika RC Chalamila kutolewa Mbeya
Wewe ni kiazi ,wewe na genge lako mlikuwa mnapiga zumari atolewe u RC sasa kapewa shavu zaidi.Oooh mara hatolewi mbeya mara ooh makalla hawezi Mbeya. Mbona ndio kawa promoted kuwa RC Dar!! Na huyo katolewa Mbeya ambako ulidai kapaweza.
Pathetic
Kuna tofauti kati ya kupiga ramli na kutoa majibu, hiyo ni ramli tuu...Wapo mnao laumu kwa nini Chalamila kabakizwa hayo ndio majibu
Kwani kuwa Mwanza ni hoja? Uko hapo lakini hujui political dynamics za hapo....Acha uongo,mimi ni mwanamwanza na niko Mwanza.Usitusemee.
Mama saamia anajua wazi kuwa anapaswa kuweka mazingira sawia kwenye baadhi ya maeneo ya nchi ili kurahisisha kuendelea kuyashikilia maeneo husika kisiasa,tulio wengi tunaungalia uteuzi wa mama kwenye angle moja tu ya utendaji na kuziacha zingine mbili muhimu yaani angle ya kisiasa na ulinzi.
mnao shangaa kumuona chalamilla Mwanza basi mmekuwa vipofu kwenye angle ya kisiasa,kuondoka kwa mwenda zake kunaifanya kanda ya ziwa kuwa eneo linalo elea, linaweza kulalia kokote kisiasa yaani upinzani au CCM.
Na kwa historia ya eneo hili huwa halina lelemama majimbo yote mawili ya mwanza kurudi upinzani sio ishu,nampa pole ndugu yangu chalamilla ajipange amefika kunako.
Watu wa eneo hili sio wababe kama Mbeya ila wanajua jinsi ya kumkamata nyoka na kumuua bila maumivu anakufa huku anatabasamu, wajua kushambulia kwa dharula, kwa kushitukiza bila taarifa huku ukijiamini kuwa uko sawa kumbe sio sawa yaani kwa ujumla ni wanadipromasia wazuri hawatataki marumbano wala tambo ila wanajua kutenda wanapokuwa na hasira.
Kabla ya utapeli wa wizi wa kura hauja komaa waliwahi kuishanga CCM kule Bariadi,Magu na Mwanza mjini. nadhani mlio wengi mnanielewa CCM inahitaji watu wa aina gani kanda ya ziwa, Chalamilla wa Mbeya sio Chalamilla utakayemuona mwanza,Chalamila utakeyemuona mwanza ni Chalamilla mwanasiasa na anaetumia busara.
wakati ni mwalimu tusubiri.
Sisi Mwanza tunamtaka sana Chalamilla mchapa kazi mzuri anatufaa sana sisi wana Mwanza.
Chalamila awe na busara?Mama saamia anajua wazi kuwa anapaswa kuweka mazingira sawia kwenye baadhi ya maeneo ya nchi ili kurahisisha kuendelea kuyashikilia maeneo husika kisiasa,tulio wengi tunaungalia uteuzi wa mama kwenye angle moja tu ya utendaji na kuziacha zingine mbili muhimu yaani angle ya kisiasa na ulinzi.
mnao shangaa kumuona chalamilla Mwanza basi mmekuwa vipofu kwenye angle ya kisiasa,kuondoka kwa mwenda zake kunaifanya kanda ya ziwa kuwa eneo linalo elea, linaweza kulalia kokote kisiasa yaani upinzani au CCM.
Na kwa historia ya eneo hili huwa halina lelemama majimbo yote mawili ya mwanza kurudi upinzani sio ishu,nampa pole ndugu yangu chalamilla ajipange amefika kunako.
Watu wa eneo hili sio wababe kama Mbeya ila wanajua jinsi ya kumkamata nyoka na kumuua bila maumivu anakufa huku anatabasamu, wajua kushambulia kwa dharula, kwa kushitukiza bila taarifa huku ukijiamini kuwa uko sawa kumbe sio sawa yaani kwa ujumla ni wanadipromasia wazuri hawatataki marumbano wala tambo ila wanajua kutenda wanapokuwa na hasira.
Kabla ya utapeli wa wizi wa kura hauja komaa waliwahi kuishanga CCM kule Bariadi,Magu na Mwanza mjini. nadhani mlio wengi mnanielewa CCM inahitaji watu wa aina gani kanda ya ziwa, Chalamilla wa Mbeya sio Chalamilla utakayemuona mwanza,Chalamila utakeyemuona mwanza ni Chalamilla mwanasiasa na anaetumia busara.
wakati ni mwalimu tusubiri.
Atakayekataa hili anajidanganya. Mwanza ni ngome ya CHADEMA na upinzani tangu 1995. Mfano, CCM haiwezi kujivunia chochote kwenye wilaya ndogo tu ya Ukerewe.Mwanza hawajawai kuchagua ccm toka mwaka 1995 ukiona ccm imeshinda ujuewizi wa kula hasa nyamagana
Mwanza walikuwa wamefanya mapinduzi makubwa mwaka 2020 kama uchaguzi ungekuwa huru dunia ingeshangazwa.
Majeraha ya uchaguzi 2020 yatakuwa mala mbili ya 2025 chadema ina nguvu sana kanda ya ziwa ikiwa kitovu ni mwanza.
Umeongea facts tupu tangu mwanzo, lakini kete ya Chalamila bado si kete bora kwa Mwanza. Nilimuona Benith Mahenge kama chaguo sahihi kwa post hiyo. Kiujumla Mwanza si Mji wa harakati, ni Mji wa slow but sure. Ni Mji ambao ukipita unaweza kudhani hakuna kinachoendelea, lakini kumbe kuna makubwa chini kwa chini. Kuna mambo makubwa yanafanyika Nyamuhongolo, Kitangiri, Nyakato na fungakazi Mkolani, lakini huwezi kusikia mwangwi wake mpaka utakapiyashuhudia viwanja vya Furahisha.Nahisi umenielewa vizuri kabisa,kama mama atakuwa amekosea hapa,ajue wazi amekosea pakubwa,si amini kama kama anaweza kufanya kosa kubwa la kimkakati kama hilo.
Sahihi.Kwani kuwa Mwanza ni hoja? Uko hapo lakini hujui political dynamics za hapo....
Chalamila huwezi kumlinganisha na aliyehamishiwa Simiyu.Sisi Mwanza tunamtaka sana Chalamilla mchapa kazi mzuri anatufaa sana sisi wana Mwanza.
isitoshe tu kusema hivyo tupe iliyo sahihiWrong perspective
watu wa MWANZA hawako hivyo atajikuta ukali wake hauna mahali pa kutumika,hawajui mambo ya migomo,kurumbana sio ishu zao hizo,kwa hiyo wewe ni mkali utajikuta ni eneo linalo boa,wanacho kitaka fanya kilicho kuleta matunda yaonekane,usipo fanya wanajua la kufanya.Nakumbuka kuna mgomo ulifanyika Mbeya, Chalamila alifungia soko lote wiki nzima, Watu walilia natunda yao n a vyakula walivyopika vitaoza lakini huyu Chalamila akasema haimuhusu.
Achana kabisa na Chalamila, Mbeya nimekaa sana ila huyu Chalamila ni kiboko, Walienda kupigia magoti kabisa.
Lambalamba wale nao walifungiwa, Siku wanahojiwa mike hazisikiki.
Mwanza mjiandae