The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,586
- 14,138
Nawasalimu kwa jina la JMT
Katika kile kinachoonekana ni shift of economic powers baina ya Mikoa,Mkoa wa Mwanza na Jiji la Mwanza kiujumla vimezidi kuporomoka kiuchumi na hivyo kuondoa ushawishi na umuhimu wake kiuchumi..
Kwa mujibu wa makusanyo ya kila Halmashauri, Mkoa wa Mwanza umeshika nafasi ya 5 kitaifa ukizidiwa na Dodoma (2),, Pwani(3) na Mbeya(4) huku Dar ikiongoza kama Kawa.
Kwa mwenendo huu wa Kiuchumi ni wazi Mkoa wa Pwani ulioitwa wa waswahili sasa utaheshimika kama mdau mkubwa wa uchumi wa Tanzania..
Nimejiuliza tuu inakuaje mkoa wa Mwanza wenye idadi kubwa ya watu lakini wanashindwa kuonyesha umuhimu wao kwenye uchumi hapa Tanzania?
Wingi wa watu ni fursa lakini kwa Mwanza na Kanda ya Ziwa kiujumla naona ni majanga tupu..Ni muhimu sasa serikali kugawa rasilimali Kwa kuzingatia uchangiaji kwenye Pato la Taifa.
Hongera sana mkoa wa Dodoma,Pwani na Mbeya Kwa kuonyesha uchapakazi kwa vitendo.
Serikali uangalieni Mkoa wa Rukwa kwa jicho la huruma na kusaidiwa , yaani mapato ya Mkoa bil.6 kweli?
Katika kile kinachoonekana ni shift of economic powers baina ya Mikoa,Mkoa wa Mwanza na Jiji la Mwanza kiujumla vimezidi kuporomoka kiuchumi na hivyo kuondoa ushawishi na umuhimu wake kiuchumi..
Kwa mujibu wa makusanyo ya kila Halmashauri, Mkoa wa Mwanza umeshika nafasi ya 5 kitaifa ukizidiwa na Dodoma (2),, Pwani(3) na Mbeya(4) huku Dar ikiongoza kama Kawa.
Kwa mwenendo huu wa Kiuchumi ni wazi Mkoa wa Pwani ulioitwa wa waswahili sasa utaheshimika kama mdau mkubwa wa uchumi wa Tanzania..
Nimejiuliza tuu inakuaje mkoa wa Mwanza wenye idadi kubwa ya watu lakini wanashindwa kuonyesha umuhimu wao kwenye uchumi hapa Tanzania?
Wingi wa watu ni fursa lakini kwa Mwanza na Kanda ya Ziwa kiujumla naona ni majanga tupu..Ni muhimu sasa serikali kugawa rasilimali Kwa kuzingatia uchangiaji kwenye Pato la Taifa.
Hongera sana mkoa wa Dodoma,Pwani na Mbeya Kwa kuonyesha uchapakazi kwa vitendo.
Serikali uangalieni Mkoa wa Rukwa kwa jicho la huruma na kusaidiwa , yaani mapato ya Mkoa bil.6 kweli?