wa stendi
JF-Expert Member
- Jul 7, 2016
- 24,688
- 26,795
Huyu aliekuwa Mkuu wa Mkoa wa Mbeya ndugu Albert Chalamila na kuhamishiwa Mwanza kwenda kuwa Mkuu wa Mkoa inawezekana kabisa hakuridhika na uhamisho wake hivyo zile kauli zake baada ya uhamisho ukiangalia kwa jicho la ukamisaa inaonyesha kabisa kama ameropoka makusudi kabisa.
Na katika utenguzi wake uliotangazwa usiku kesho yake asubuhi tumeona baada ya masaa kadhaa kupita akaonekana anakabidhi ofisi tena kwa mkuu wa mkoa mpya ambae hata hajaapishwa. Binafsi naona huyu aliekuwa mh kimoyo moyo amefurahia sana utenguzi wake .
My Take:
Jana nasikia lori lilokuwa limepeleka vitu vyake vya ndani kutoa Mbeya kupeleka Mwanza eti limefika mwanza hata vitu havijashushwa limegeuza navyo,na kwa muda mchache aliohudumia wananchi wa Mwanza na kutumbuliwa baadhi ya wananchi jana tuu wamefanya sherehe.
Pole sana chala mdomo ulipo nza kichwa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Na katika utenguzi wake uliotangazwa usiku kesho yake asubuhi tumeona baada ya masaa kadhaa kupita akaonekana anakabidhi ofisi tena kwa mkuu wa mkoa mpya ambae hata hajaapishwa. Binafsi naona huyu aliekuwa mh kimoyo moyo amefurahia sana utenguzi wake .
My Take:
Jana nasikia lori lilokuwa limepeleka vitu vyake vya ndani kutoa Mbeya kupeleka Mwanza eti limefika mwanza hata vitu havijashushwa limegeuza navyo,na kwa muda mchache aliohudumia wananchi wa Mwanza na kutumbuliwa baadhi ya wananchi jana tuu wamefanya sherehe.
Pole sana chala mdomo ulipo nza kichwa.
Sent using Jamii Forums mobile app