......Huyu coco mwenzio ulitegemea asemeje.
Nikusaidie kitu. Pitia comments zote hapa afu piga hesabu uone huyo kalio sijui tulio sijui tuliza amebebwaje humu
Kamanda tupo nyuma yako
Mkuu mbona uko tofauti na wanaMbeya?!Bora aje huyu Tulia.....Naipemda chadema lakini sugu bungeni ni mzigo
Dr. Tulia ameshajiwekea Mizizi yake mikuu katika hili Jimbo kinachosubiriwa ni 2020 tuu pale wananchi watakapoamua kwenda na Dr. Tulia Ackson ambaye pia ni Naibu spika wa Bunge ambaye amefanikiwa kwa Kiwango cha juu kuliendesha Bunge akiwa na tabia ya kutomuangalia nyani usoni akitaka kumuua.
Dr Tulia ameshaanza kuwa karibu na wananchi kwa kudhamini Tulia Marathon zitakazofanyika katika Uwanja wa Sokoine-Mbeya mjini.
Dr. Tulia ameshajiwekea Mizizi yake mikuu katika hili Jimbo kinachosubiriwa ni 2020 tuu pale wananchi watakapoamua kwenda na Dr. Tulia Ackson ambaye pia ni Naibu spika wa Bunge ambaye amefanikiwa kwa Kiwango cha juu kuliendesha Bunge akiwa na tabia ya kutomuangalia nyani usoni akitaka kumuua.
Dr Tulia ameshaanza kuwa karibu na wananchi kwa kudhamini Tulia Marathon zitakazofanyika katika Uwanja wa Sokoine-Mbeya mjini.
Mubasharaah!Mbeya nayoijua mimi sii ya wanafiki kama unavyofikiri,Huyu binti atawafaa jimbo la Magogoni,amewafunga wapinzani Midomo kwa kutumwa na jimbo lake la Magogoni,Kama huijui Mbeya bora uende uone watu walivyo full extreme,Uoga wenu wa Manzese na arusha pelekeni kwenu,Naona jimbo litalomfaa ni Magogoni pekee,Mbeya City ilimshinda MNAFIKI MPESYA.
Hivi pale Mungu aliwekaga watu wenye sura nzuri kweli!haaa wapi kwanza lisura libaya kaa nini nani.ampe kura?
Dr. Tulia ameshajiwekea Mizizi yake mikuu katika hili Jimbo kinachosubiriwa ni 2020 tuu pale wananchi watakapoamua kwenda na Dr. Tulia Ackson ambaye pia ni Naibu spika wa Bunge ambaye amefanikiwa kwa Kiwango cha juu kuliendesha Bunge akiwa na tabia ya kutomuangalia nyani usoni akitaka kumuua.
Dr Tulia ameshaanza kuwa karibu na wananchi kwa kudhamini Tulia Marathon zitakazofanyika katika Uwanja wa Sokoine-Mbeya mjini.