Daah! umeniwah aiseAgombee Dodoma kwa wagogo. Huko ndiko chama chake kina miziz mirefu.
Naona unapima upepo? Bilashaka umejionea mwenyewe kitakachojili.DOCTOR TULIA FOR MBEYA
Standard Seven Sugu a.k.a Beckham a.k.a Ronaldo anamalizia mda wake sasa.
Wakati mwingine posho zinawatoa ufahamu kbsa yaani mnakuwa kama vichaa vileMnampa sugu presha jamani!
Kuna Mbeya mjini nyingine imeanzishwa au ni ile ile ya wasafwa na wanyakyusa!?
Bora aje huyu Tulia.....Naipemda chadema lakini sugu bungeni ni mzigo
Hapo pattamumbeya mjini hata aende akagombee Magu hapati kitu
akii timamu ndiyo kumchagua sugu?Mkituletea huo ujinga Mbeya tutawafanya hamna,huyo mama yenu atakuwa mtu wa kwanza kupata kura sita Mbeya. MBEYA HATULI VIWAVI JESHI TUNA AKILI TIMAMU.
Dr. Tulia ameshajiwekea Mizizi yake mikuu katika hili Jimbo kinachosubiriwa ni 2020 tuu pale wananchi watakapoamua kwenda na Dr. Tulia Ackson ambaye pia ni Naibu spika wa Bunge ambaye amefanikiwa kwa Kiwango cha juu kuliendesha Bunge akiwa na tabia ya kutomuangalia nyani usoni akitaka kumuua.
Dr Tulia ameshaanza kuwa karibu na wananchi kwa kudhamini Tulia Marathon zitakazofanyika katika Uwanja wa Sokoine-Mbeya mjini.