ostrichegg
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 12,052
- 6,197
Njaa, kwani bk7 imesimamishwa?Kama chadema wakimsimamisha Lowassa kugombea urais nakwambia chadema itapoteza wabunge wengi !! Walitudanganya na kutulagai vya kutosha!! halafu ni kwamba wabunge wengi walipata kura kwa sababu ya hasira juu ya CCM!! Mheshimiwa aachilie ajira tu na mikopo ya kibenki hatutakuwa na sababu yakuipigia kura chadema ya Lowassa na mbowe na sumaye!!labda Dr silaha akirudi chadema;;