kipara kipya
JF-Expert Member
- May 2, 2016
- 20,142
- 24,446
Mhh viti maalumu je!Mwili wake una thamani sio kama wale wa hapo Lumumba mnaopokezana kutomasa mpaka miili yao imekuwa sugu
Mhh viti maalumu je!Mwili wake una thamani sio kama wale wa hapo Lumumba mnaopokezana kutomasa mpaka miili yao imekuwa sugu
Ameandika vile kama CCM ndio ilikuwa ina regulate huo uchaguzi. Ashinde mwingine sifa wachukue wao.....Eti akawauliza nao wakamjibu "tumemchagua Fatma kwa vile amezaliwa na kukulia ndani ya ccm"!
Nimecheka kidogo nipaliwe pumzi, hakika ccm imejaa ulaghai mpaka shetani akiangalia anasema hiiiii!
Nadhani umeisoma thread hii ukiwa matingas"Nimeongea na wanasheria, wamesema wamempigia kura kwa sababu ni matunda ya CCM"
Nigga please, hata kama unatafuta sifa kupita ushindi wa huyu mama, jaribu kuwa creative man.
I mean wtf, yaan hata ushindi wa huyu mama unauvutia kwako ili ionekane ni CCM imeshinda, loh
Umeongea na wanasheria wangapi? Na si wanasheria wote ni wanachama wa ccm, wengi wana oppose ccm, umeandika post as if unamiliki hiyo tls...
Hivi makamo wa raisi Samia Suluhu ameolewa!?,Mkuu naona bado una mambo ya kale mambo ya "zilipendwa",Dunia ya sasa hivi wanawake wanafanya mambo makubwa makubwa wakiwa wameolewa!!Hakuna mwanamke aliyeolewa anaefanya mambo kama hayo!...nawaza tu
CC: stroke. Huyu jamaa alisemaga hatapoteza kura yake kwa Fatma Karume, ona sasa kura enyewe kapotezea mazima kwa Wasonga.CC: ALBERT Msando
@Rugemeleleza
Unafiki ni uchawi ndugu BashiteHasira ya nini jomba!
Sister usitupangie cha kuzungumzaTusiweke siasa sana kwenye uzi huu
Mmoja tuNaomba kujua huo uraisi ni miaka mingapi???
Vipi Mkuu....hiyo heading "...make peace" ingekuuwa vizuri zaidi ya "...make love"....kwa hii hali ya hewa ya dar tunaojua kingereza tunapata ushawishi wa kufungua thred tukinadhi ni ushauri tofauti na ushauri mzuri ulioutoa.hizo ni siasa zako tu mkuu
Hiki hasa ndicho ulichotaka kusema, hayo mengine uongo tu...na haitashangaza lile jinga lenu(wewe si ndo kiongozi wao?) baada ya wanasheria kulikatalia tena kumchagua kilaza wa CCM likianza kuropoka eti Ti-elo-eshi imechagua mwanashishiemu kweli kweliNimeongea na wanasheria wapiga kura wenye mrengo wa ki-CCM wakasema tumemchagua kwa kuwa ni matunda ya CCM.
Yan seriously eti CCM walipeleka lile dubwasha likashindane na Fatma?😛Hahahahaa mmekua wapoleeeee, lijitu lenu limeambulia Kura sita....
Hiki kizazi kinapenda sana hizi title za kishigongo...la msingi ni hoja iliyomo ndani ya thread.Vipi Mkuu....hiyo heading "...make peace" ingekuuwa vizuri zaidi ya "...make love"....kwa hii hali ya hewa ya dar tunaojua kingereza tunapata ushawishi wa kufungua thred tukinadhi ni ushauri tofauti na ushauri mzuri ulioutoa.
Take it or leave it!
Mwaka mmoja tu kwa mujibu wa katiba ya TLSNaomba kujua huo uraisi ni miaka mingapi???