Mwaka mmojaNaomba kujua huo uraisi ni miaka mingapi???
Eti akawauliza nao wakamjibu "tumemchagua Fatma kwa vile amezaliwa na kukulia ndani ya ccm"!Hahahahaa mmekua wapoleeeee, lijitu lenu limeambulia Kura sita....
Mbona mda mchache sanaMwaka mmoja
Sijajua kwanini walijiwekea muda mchache mkuu. Tusubiri wanasheria watakuja kujibu kiundani zaidiMbona mda mchache sana
We unaonaje?Si meshasema jiwe halishauriki?
0
Ulaghai ni kuquote kisichokuwepo!
Mzee wa kuzindua,teua na tengua kamkaba mengiNimesikitishwa sana na HUJUMA alizo fanyiwa FATMA KARUME leo.
ITV walicho fanya kwenye habari zao za saa mbili,ni uhuni na hujuma za wazi kabisa kwa huyu dada.
Hujuma walizo mfanyia ni:-
1.Ni habari yake kutopewa kipaumbele kabisa kwa kuwekwa ya mwisho kabisa.
2.Ni utangazaji wa matokeo yake,yamesomwa ilimradi tuu,lakin ni kama ITV wamedhamiria hiyo habari isipate umakini.
3.Ni sauti ya FATMA akirekodiwa,imekuwa totally distorted,kwanza sauti ilikuwa chini alaf mbovu,pili ilichanganywa na mtu mwengine,tatu picha ilionekana ya mtu mwingine na chafu.
Uhuni huu hauvumiliki,hata kama ni kujipendekeza mmezidi.
Itakuwa kuna mahali wamepwaya wanaogopa kutumbuliwa maana wale jamaa hawachelewi kusema bosi wao akapime DNANimesikitishwa sana na HUJUMA alizo fanyiwa FATMA KARUME leo.
ITV walicho fanya kwenye habari zao za saa mbili,ni uhuni na hujuma za wazi kabisa kwa huyu dada.
Hujuma walizo mfanyia ni:-
1.Ni habari yake kutopewa kipaumbele kabisa kwa kuwekwa ya mwisho kabisa.
2.Ni utangazaji wa matokeo yake,yamesomwa ilimradi tuu,lakin ni kama ITV wamedhamiria hiyo habari isipate umakini.
3.Ni sauti ya FATMA akirekodiwa,imekuwa totally distorted,kwanza sauti ilikuwa chini alaf mbovu,pili ilichanganywa na mtu mwengine,tatu picha ilionekana ya mtu mwingine na chafu.
Uhuni huu hauvumiliki,hata kama ni kujipendekeza mmezidi.