chuwaalbert
JF-Expert Member
- Sep 17, 2010
- 3,598
- 2,136
..Ukizingatia kuwa Fatuma ana inshu nao kwa Pilato!Hamna urafiki Na CCM
..Ukizingatia kuwa Fatuma ana inshu nao kwa Pilato!Hamna urafiki Na CCM
kwani huyu dada hajaolewa!!? nilikuwa sijui acha nipeleke posa kwa Amani Karume..Kamwe usimuamini mwanamke tena ambaye hajaolewa
Nami sijui!kwani huyu dada hajaolewa!!? nilikuwa sijui acha nipeleke posa kwa Amani Karume..
Kwanini sasa umesema usimuamini mwanamke ambae hajaolewa hakati wewe hujui kama huyu dada kaolewa au la!!?Nami sijui!
Nimekufahamu Mkuu...jamaa katumia "Irony"...Haujamuelewa huyo jamaa aisee.
.......Tusiweke siasa sana kwenye uzi huu
Mwili wake una thamani sio kama wale wa hapo Lumumba mnaopokezana kutomasa mpaka miili yao imekuwa suguPongezi kwake ila ukimgusa tu fidia Bil 1!
Ni kweli ni wa kwao kwa maana ya kusimamia ukweli na kutokuwa na tabia za kujikomba hata kwenye uovu kama nyinyiFatma Karume pia amekidhi matakwa ya AG kwani yeye (Fatuma) si mbunge, diwani au kiongozi katika chama cho chote cha siasa kama alivyokuwa Tundu Lissu. Chadema wanajidanganya tu kwamba Fatma ni wa kwao, they will get a big surprise!
Hakuna mwanamke aliyeolewa anaefanya mambo kama hayo!...nawaza tuKwanini sasa umesema usimuamini mwanamke ambae hajaolewa hakati wewe hujui kama huyu dada kaolewa au la!!?