Hongera Simba SC kupanda viwango vya ubora CAF

Hongera Simba SC kupanda viwango vya ubora CAF

Shirikisho la kimataifa la historia na takwimu za mpira Duniani (IFFHS) limetangaza vilabu (20) bora Africa (CAF) kuanzia May 2022 hadi April 2023.

Vigezo vilivyotumika ni
1.Matokeo katika idadi ya mechi zilizochezwa
2.Ubora katika ligi ya nyumbani.

Takwimu hizo ni kama ifuatavyo.

01. ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ฌ Al Ahly Cairo
02. ๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฆ Wydad Casablanca
03. ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ฌ Zamalek
04. ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ฌ Pyramids
05. ๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฆ FAR Rabat
06. ๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ฆ Mamelodi Sundowns
07. ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ฌ Future FC
08. ๐Ÿ‡ธ๐Ÿ‡ฉ Al Hilal
09. ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ Young Africans
10. ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ Simba SC
 
Hongereni sana Wanamsimbazi wote kwa kufanikiwa kupanda tena kwenye viwango vya soka Barani Afrika.

Naona bado mnaendelea tu kuishikilia ile nafasi yenu ya pili kwa ubora kwa zile timu za Wabantu, baada ya Mamelody Sundowns.
 
Back
Top Bottom