Kileghe
JF-Expert Member
- Jul 2, 2014
- 363
- 313
Kawaambia muweke mjengo wake mtandaoni?, wemgine hawapendi muanike mambo yao mitandaoni hata kama ni watu mashuhuri.
Katika pitapita zako ukaambiwa eti mjengo ni wa mtu fulani, una uhakika gani kama taarifa ni za kweli?
Kama ni kweli na ametaka tulijue hilo hongera kwake.
Katika pitapita zako ukaambiwa eti mjengo ni wa mtu fulani, una uhakika gani kama taarifa ni za kweli?
Kama ni kweli na ametaka tulijue hilo hongera kwake.