Hongera Multichoice Tanzania

Hongera Multichoice Tanzania

Geechie

JF-Expert Member
Joined
Oct 26, 2015
Posts
977
Reaction score
762
Dstv kidogo kidogo wanaanza kupata akili kuanzia ijumaa ligi ya Spain itakuwa inaonekana kwenye kifurushi kidogo kabisa cha Dstv bomba ambacho kimepunguzwa bei na kuwa sh 19750.hakika wamegusa kilio chetu,wajiongeze kidogo watupunguzie na Epl katika compact isogee hata mpaka sh60000 itakuwa poa sana.
 
Nimependa kuwa compact plus inaonesha mechi zote na pia channel kama duscivery hd,ci na nyingine kali zimefunguliwa kwl ushindani unasaidia
 
Nasubiri hiyo tarehe15 nikalipie,mi nilikuwa nacheki TBC na channel ten tu kwa Sababu wanapandisha bei hovyo wakisingizia eti dola inapanda sijalipia mwaka mzima


Nimecheka sana mkuu eti sijalipia mwaka mzima
 
Plus MA Mobdro lazima washuke tu maana nilishaacha ujinga me napiga bluestack kwenye pc yangu nafungua Mobdro naconnect na Hdmi cable nakula game kama niko UK kwa msaada WA Vodacom 4G ya buku mbili tu 2Gb.
Dakika 90 unatumia mb ngapi
 
Mb hata 400-500 zinatosha kuplay match nzima ila sijui na ulaji WA mauza uza WA hawa jamaa zetu WA hapa kasi tu maana nahisi 4G yao kama jiko linalokula bundle.
Ila kipimo kingine ni uchaguzi WA USA juzi niliangalia toka saa moja asubuhi ipofika saa sita ikanipa reminder ya 2GB imekwisha,so factor mbili labda hawa hapa kasi tu wanakula sana mb au ni kwakuwa video zile Mobdro ni high definition quality
 
Mb hata 400-500 zinatosha kuplay match nzima ila sijui na ulaji WA mauza uza WA hawa jamaa zetu WA hapa kasi tu maana nahisi 4G yao kama jiko linalokula bundle.
Ila kipimo kingine ni uchaguzi WA USA juzi niliangalia toka saa moja asubuhi ipofika saa sita ikanipa reminder ya 2GB imekwisha,so factor mbili labda hawa hapa kasi tu wanakula sana mb au ni kwakuwa video zile Mobdro ni high definition quality
Unaipataje hiyo?
 
Dstv kidogo kidogo wanaanza kupata akili kuanzia ijumaa ligi ya Spain itakuwa inaonekana kwenye kifurushi kidogo kabisa cha Dstv bomba ambacho kimepunguzwa bei na kuwa sh 19750.hakika wamegusa kilio chetu,wajiongeze kidogo watupunguzie na Epl katika compact isogee hata mpaka sh60000 itakuwa poa sana.
Ni kweli kabisa,juzi jioni walinipigia simu kunijulisha hiyo bei.
 
Dstv kidogo kidogo wanaanza kupata akili kuanzia ijumaa ligi ya Spain itakuwa inaonekana kwenye kifurushi kidogo kabisa cha Dstv bomba ambacho kimepunguzwa bei na kuwa sh 19750.hakika wamegusa kilio chetu,wajiongeze kidogo watupunguzie na Epl katika compact isogee hata mpaka sh60000 itakuwa poa sana.
Sio wao bali ushindani wa kibiashara,market share yao imeshuka pakubwa bila kufanya hivyo watafutika.
 
DSTV Kwa kweli ni MUUMIANI... CHINJA CHINJA... NYONYA DAMU... KUPE!! Huduma nyingi huwa nalipia huku nafurahi kwa kimuhemuhe cha kupata huduma husika (especially kama ilishakatika) lakini kila ninapolipia DSTV huwa nalipia huku nimenuna na siku mzima nabaki kuifikiria pesa niliyotoa kulipia.

R.I.P GTV manake kama si msukosuko wa kiuchumi mwaka 2008; hivi sasa vifurushi vya DSTV si ajabu vingekuwa na thamani sawa na Startimes kama isingekuwa wamefunga virago kabisa!
 
Plus MA Mobdro lazima washuke tu maana nilishaacha ujinga me napiga bluestack kwenye pc yangu nafungua Mobdro naconnect na Hdmi cable nakula game kama niko UK kwa msaada WA Vodacom 4G ya buku mbili tu 2Gb.
Acha uongo kwenye blue stack aikubali ku stream hiyo mobdro
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom