Walad Amin
JF-Expert Member
- Apr 28, 2013
- 287
- 87
Huyo msanii alikimbia ili damu zisimrukie wee unafanya masihara nini
Huyo msanii alikimbia ili damu zisimrukie wee unafanya masihara nini
"ati amini mkuu"-nimechekahahaahah kwa kuwa kazi zao wanafanya kwa siri basi tumejenga picha ni watu wenye akili za hali ya juu, kumbe ukiwaleta hadharani ni ma bashite sana. amini mkuu ndo hao vilaza
hahahahahYule mshamba tu na ki'jeans chake cha "Lee"
Bongo movie yenyewe wanayaigiza hayohayo yaliyoko kwenye idara hii kama ilivyo kwa kina 007 kuigiza kile wanachokifahamu juu ya idara yaoHata mimi nimeshangaa sana wanausalama gani silaha zimekaa kama bongo movie wako location kiasi kwamba akitokea mtu aliyejichokea anamalizana nao hapo hapo
Kuna kale kachalii nilikaona kwenye hiyo prukushani kalivoona bastola kalitoka nduki,yani ni kaoga kama jicho..,teh,,teh...Siku ya leo kumetokea tukio la kustaajabisha ktk tasnia ya siasa nchini tanzania. Tukio hilo limetokea dar es salaam wakati aliyekuwa waziri wa michezo na tamaduni Nape nauye akitaka kuongea na waandishi wa habari baada ya kuondolewa katika nafasi yake ya uwaziri. Nape ameondelewa leo hii katika nafasi yake baada ya mh rais kufanya marekebisho madogo katika wizara mbili.
Baada ya mh Nape kuwasili maeneo ya Pritoria hotel kulitokea tafrani baada ya watu walitambuliwa kuwa ni maafisa usalama kumzuia asiongee na waandishi na kumtaka arudi ndani ya gari. Wakati sakata hilo likitokea mmoja wa maafisa usalama alitoa bastola na kumtishia Mh Nape ambaye naye hakustuka . Afisa huyo aliirudisha silaha hiyo kiunoni kisha kuanza kumsukuma Mh nape kumrudisha ndani ya gari. Pasipo kutarajiwa kijana mmoja mtanashati aliyevaa koti jekundu alionekana kujongea kujua kinachoendelea baada ya kuona tafrani ikitokea.
Kijana huyo aliweza kutambuliwa kuwa ni mtangazaji maarufu Maulid Kitenge. Kijana huyoo aliweza kuingilia kati na kumtoa afisa usalama kwa nguvu eneo la tukio huku akimsukuma bila kuogopa. Hakika alifanikiwa akamuondoa eneo hilo na afisa huyo alitii bila shurti. Wengi tumeona na kustaajabu na hatuna budi kumpa hongera maulidi kitenge kwa ujasiri aliouonesha.
ILA
Nimejaribu kujiuliza kwa hali ya kawaida kuna raia wa kawaida anaweza kuwa na ujasiri wa namna hiyoo. Nikapata jibu inawezekana na yeye ni wale watu wanaovaa suti nyeusi(mashushu).mpaka sasa bado sijapata jibu sahihi .
Waungwana ninyi mnaonaje nawasilishaView attachment 485865View attachment 485866View attachment 485867View attachment 485868
Kwani watu wa usalama peke yao ndo wajasiri?...Kama ukifatilia Vizuri hiyo clip...Kitenge katoa wapi ujasiri wa kumzui huyo jamaa huku anamuambia unaharibu mambo...
Kama isingelikuwa na yeye usalama asingesema chochote..
Nahisi kitenge mtu wa usalama!
...nyege zimeisha siku hizi hucheki cheki hovyo kama zuzuSasa unamtukania nini? Mbona kaeleza Tu vizur?
Mbwahaaaaaa mbwahaaaaaa haaaaa...nyege zimeisha siku hizi hucheki cheki hovyo kama zuzu