Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 80,836
- 93,624
Lakini ni sahihi kuchanganya R&L?Haya ndio yanakwamisha rufaa zao?
Lakini ni sahihi kuchanganya R&L?Haya ndio yanakwamisha rufaa zao?
Lakini ni sahihi kuchanganya R&L?Haya ndio yanakwamisha rufaa zao?
Lakini ni sahihi kuchanganya R&L?
Hata wakimaliza kusikiliza hizo rufaa majibu hawatoi mpaka wapate ruhusa kutoka kwa mwajiriHilo linajulikana, na je ndio sababu ya kutosikiliza rufaa
Hata wakimaliza kusikiliza hizo rufaa majibu hawatoi mpaka wapate ruhusa kutoka kwa mwajiri
Mkuu kuna ndugu yangu anahangaika nao miaka miwili sasa majibu yao ni rahisi tuu wanakuambia nenda kwenye sanduku la posta halafu wanakuapa simu amabayo muda wote imezimwa hii tume ni ya kufumua yoteDuh hii nayo kali asee