Fugwe
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 1,676
- 656
Anaoa halafu akienda gerezani atamuachia nani huyo mke wake? Uamuzi wake haukuwa wa busara kabisa.
Conjugal visits itabidi ifabyike
Anaoa halafu akienda gerezani atamuachia nani huyo mke wake? Uamuzi wake haukuwa wa busara kabisa.
Shemeji anapendeza nawe pia wang'aa,
walisema hawezi hawezi haya sasa kikuwapi cha kumpikia mgeni mwenyewe kulamba mwiko?
PICHA KWA HISANI YA WAVUTI
Jerry Muro amefunga ndoa na bi. Jennifer John katika kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Usharika wa Azania Front jijini Dar es Salaam siku ya Jumapili iliyopita.Hongera Jerry,ilikuwa lini jamani?
Anaoa halafu akienda gerezani atamuachia nani huyo mke wake? Uamuzi wake haukuwa wa busara kabisa.
Anaoa halafu akienda gerezani atamuachia nani huyo mke wake? Uamuzi wake haukuwa wa busara kabisa.
Nami nawaza je akitiwa hatiani?
MMMMMMMMMMMMMMMMMMMMMMM tema mate chini,chelewachelewa wakuta mwana si wakoafu nilikuwa nammendea jerry,sikujua ana kifaa cha nguvu hivyo....ray:
shemeji anapendeza nawe pia wang'aa,
walisema hawezi hawezi haya sasa kikuwapi cha kumpikia mgeni mwenyewe kulamba mwiko?
Picha kwa hisani ya wavuti
Dada mambo ya eye contact hajui kabisaa! Hongera mkwe,Mungu akujaalie mafisadi wasikusumbue. Utulie sasa.
NOTED!!
Glory to God!!
mmmmmmmmmmmh King'asti polepole na mume wa mtu eti,mbona wapo kubao wenye uwezo wa kutoa jicho kama nyanya? kama huna waweza toa tangazo hapa Jf,kwa upande wangu tayari jicho langu nimeshamtolea mtu labda umwone mwita25