Hongera HALIMA MDEE umeonyesha ukomavu

Hongera HALIMA MDEE umeonyesha ukomavu

Status
Not open for further replies.
Ni upopo kuanza kuangalia individuals kwenye organization. Maamuzi ni ya CC sasa unataka Halima aongee nini?
 
Tuliwaambia kuwa zitto hafukuziki ndanimya chadema wakabisha ona sasa wanaishia kuvuna aibu kubwa na kulia pasipo msiba chadema ni zitto akiondoka inakufa.

S aondoke tu uone kama itakufa,Chadema sio Zitto
 
Mnyika disapointed me katika hili sakata.

We ulitaka afanyeje? Mbona Karume na wazanzaibari wengi tu waliokuwa wanamshabikia Mansour alipofukuzwa unachama wa CCM wahakulalamika? Iweje Zito iwe nongwa kunanini kilichojificha?
 
Mwalimu J.K.NYERERE """""alieleza kuwa dhambi ya ubaguzi ni sawa na kula nyama ya mtu........amin msiamini huu ndo mwanzo wa kutafunana ndani ya CDM na hawatokaa salama milele......., wabunge wote wa CHADEMA kwa namna moja au nyingine tumewajua wapo upande upi! Kimsingi nampongeza Mbunge wa Kawe HALIMA MDEE kwa kukaa kimya, kutotoa neno lolote ambalo kwa namna moja au nyingine lingeendelea kukuza mgogoro! CHADEMA igeni kwa mwana Mama HALIMA MDEE kawashinda busara wanaume wote ndani ya CHADEMA upeo wa kufikiri! Nakushauri usije comment chochote juu ya hili sakata utajijengea heshima kubwa kwa nchi hiii

Anaekaa kimya ni wa upande wa Zitto lakini anaogopa kujieleza!
 
Mnyika hakupaswa kujiingiza kwenye hili.hakuwa na sababu ya kujiweka kwenye level ya akina Lema,Msigwa na Sugu.Ni kujidharirisha.

Bila kujua,amejishushia heshima katika hili.

Huu ni upotoshaji. Maamuzi yalifanywa na vikao, ambavyo Halima, Mnyika, na Prof. Safari walishiriki (hivyo ni sehemu ya maamuzi hayo). Mnyika ni msemaji wa chama. Halima na Prof. Safari si wasemaji wa chama. Nachokiona watu wana-personalize hili sakata na wanaingia kwenye mjadala bila kulielewa (akiwemo Pasco).
 
nikukumbushe tu kuwa mnyika ni msemaji wa chama makao makuu hiyo yeye lazima aonekane kama kajiingiza katka jambo hili. Unajua wengi tunaofutlia kuhusu sakata hili hebu tujiulize zito mbona ameshindwa kukanusha kuhusu walaka unaonesha namna alivyokuwa akipewa pesa na tiss.

Hujui kuwa Chadema waliukana waraka ule kuwa ni feki?tafuta hiyo habari.
 
Sasa PhD nikisema wewe ni mchochezi utakataa??
Hayo mambo ya Mzee Slaa, Josephina eti wamtoe Halima Kawe umeyatoa wapi??
Dar majimbo ya ubunge yamekwisha???
Wacha kupandiza ujinga, hata feri huwezi kuuza huo upuuzi!!
 
Last edited by a moderator:
Mnyika hakupaswa kujiingiza kwenye hili.hakuwa na sababu ya kujiweka kwenye level ya akina Lema,Msigwa na Sugu.Ni kujidharirisha.

Bila kujua,amejishushia heshima katika hili.

Yeye ni kiongozi kama alivyo Nape Mnauye mabaye kila kukicha Mzee wa Monduli akiongea yeye anaenda kutoa matamko kumpinga lakini Sitta Samweli akiongea naufyata utadhani kanyeshewa na mvua ya theluji. Sasa ulitaka Mnyika akatae kuongea mambo yaliyoongelea na chama? Mbona Nape akitumwa huwa nakuja kuongea?
 
hapana mnyika lazima kwa kuwa yeye ni msemaji wa chama lazima atekeleze majukumu yake hata kama yeye hataki basi chama kitamtuma tu aketekeleze
 
Tuliwaambia kuwa zitto hafukuziki ndanimya chadema wakabisha ona sasa wanaishia kuvuna aibu kubwa na kulia pasipo msiba chadema ni zitto akiondoka inakufa.

Huyu kijana Fisadi tu na yeye hana jipya, Mbona hataki kuondoka ili CDM ife ili mfurahi? Sasa amekuwa Mbunge wa mahakama, na hapo ndo anapojimaliza kisiasa.
Mwanamme uhtakiwi kukimbilia misaada pigana ukishindwa sawa lakini watu wameona kuwa alienda vitani.
 
Hii kutaka kuwatofautisha viongozi na vyama vyao ni kukosa mantiki kabisa. Haiwezekani Mh. Mdee awe mkomavu kwa kuendelea kuwa ndani ya CDM kama hakubaliani na hatua zinazochukuliwa na chama chake hivi sasa. Sina shaka kwamba uliyeleta na mnaounga mkono hoja hii mna nia ya kumdharaulisha sana huyu mheshimiwa mbele ya jamii kwani kama angekuwa na ukomavu wa kweli "wa kutokubaliana na maamuzi hayo" basi ni ama angepinga waziwazi au angejiuzulu. Sidhani kama Mh. Mdee anaweza kuwa ovyo kiasi hicho. Bila shaka anaendana vyema na chama chake kulivyo mnavyotegemea; ndio maana hapayuki huko mitaani.

Ni kama tunavyoendelea kusikia MKiti wa CCM akipongezwa na kusifiwa kibinafsi mara nyingi kwa kuamua mambo tofauti na msimamo wa chama chake km lilipoanza suala la Katiba mpya. Huu utamaduni wa kutukuza watu fulani (individuals) dhidi ya wenzao katika kundi ni muendelezo wa unafiki na ubabaishaji katika siasa zetu. Hakuna mtu wa maana anayeweza kuendelea kuwemo katika kundi la wababaishaji; ukiona hivyo, ujue huyo ndiye master of the craft. Anacheza kuendana na upepo.
 
Mmbeya na wewe BABU SLAA na JOSEPHINE mnaofanya fitna za kumuondoa HALIMA MDEE KAWE ,ili JOSEPHINE agombee mnafikiri hatujui mambo yenu, kaa kushoto wewe choko wa tandale.

Kijana acha propaganda!
 
Mnyika na hata huyo mdee wasitegemee kupata ubunge katika majimbo ya dar! Anayebisha abishe tu lkn atajua 2015 itakapofika

Tusinge juwa kuna msaliti anamtamdao mkubwa apo mnyika plus halima wange kosa ubunge wao coz msaliti alitaka 2015 cdm iwe imekifa lakini tambuwa kuwa cdm nimpango wa mungu natutaemdelea kuyapata mengi yaliyo nyuma ya pazia by the way zzk ajipange na mbinu nyingine ya kukiua cdm
 
ulipitia mara ngapi kurasa yake ya twitter ukaconfirm hajawah liongelea hilo.
 
Mnyika disapointed me katika hili sakata.

Kwani hamjui nafasi ya Jmnyika ndani ya chama? Mlitaka hilo swala aliongelee Mdee wakati hahusiki na hiyo idara?! Mbona hamsemi kuhusu SUGU, Silinde na wabunge wengine wa Chadema??
 
Mwalimu J.K.NYERERE """""alieleza kuwa dhambi ya ubaguzi ni sawa na kula nyama ya mtu........amin msiamini huu ndo mwanzo wa kutafunana ndani ya CDM na hawatokaa salama milele......., wabunge wote wa CHADEMA kwa namna moja au nyingine tumewajua wapo upande upi! Kimsingi nampongeza Mbunge wa Kawe HALIMA MDEE kwa kukaa kimya, kutotoa neno lolote ambalo kwa namna moja au nyingine lingeendelea kukuza mgogoro! CHADEMA igeni kwa mwana Mama HALIMA MDEE kawashinda busara wanaume wote ndani ya CHADEMA upeo wa kufikiri! Nakushauri usije comment chochote juu ya hili sakata utajijengea heshima kubwa kwa nchi hiii

Kwani kila analolisema Halima wewe unalipata?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom