Tuliwaambia kuwa zitto hafukuziki ndanimya chadema wakabisha ona sasa wanaishia kuvuna aibu kubwa na kulia pasipo msiba chadema ni zitto akiondoka inakufa.
Mnyika disapointed me katika hili sakata.
Mwalimu J.K.NYERERE """""alieleza kuwa dhambi ya ubaguzi ni sawa na kula nyama ya mtu........amin msiamini huu ndo mwanzo wa kutafunana ndani ya CDM na hawatokaa salama milele......., wabunge wote wa CHADEMA kwa namna moja au nyingine tumewajua wapo upande upi! Kimsingi nampongeza Mbunge wa Kawe HALIMA MDEE kwa kukaa kimya, kutotoa neno lolote ambalo kwa namna moja au nyingine lingeendelea kukuza mgogoro! CHADEMA igeni kwa mwana Mama HALIMA MDEE kawashinda busara wanaume wote ndani ya CHADEMA upeo wa kufikiri! Nakushauri usije comment chochote juu ya hili sakata utajijengea heshima kubwa kwa nchi hiii
Mnyika hakupaswa kujiingiza kwenye hili.hakuwa na sababu ya kujiweka kwenye level ya akina Lema,Msigwa na Sugu.Ni kujidharirisha.
Bila kujua,amejishushia heshima katika hili.
nikukumbushe tu kuwa mnyika ni msemaji wa chama makao makuu hiyo yeye lazima aonekane kama kajiingiza katka jambo hili. Unajua wengi tunaofutlia kuhusu sakata hili hebu tujiulize zito mbona ameshindwa kukanusha kuhusu walaka unaonesha namna alivyokuwa akipewa pesa na tiss.
Mnyika hakupaswa kujiingiza kwenye hili.hakuwa na sababu ya kujiweka kwenye level ya akina Lema,Msigwa na Sugu.Ni kujidharirisha.
Bila kujua,amejishushia heshima katika hili.
Tuliwaambia kuwa zitto hafukuziki ndanimya chadema wakabisha ona sasa wanaishia kuvuna aibu kubwa na kulia pasipo msiba chadema ni zitto akiondoka inakufa.
Mmbeya na wewe BABU SLAA na JOSEPHINE mnaofanya fitna za kumuondoa HALIMA MDEE KAWE ,ili JOSEPHINE agombee mnafikiri hatujui mambo yenu, kaa kushoto wewe choko wa tandale.
Mnyika na hata huyo mdee wasitegemee kupata ubunge katika majimbo ya dar! Anayebisha abishe tu lkn atajua 2015 itakapofika
Mnyika na hata huyo mdee wasitegemee kupata ubunge katika majimbo ya dar! Anayebisha abishe tu lkn atajua 2015 itakapofika
Mnyika disapointed me katika hili sakata.
Mwalimu J.K.NYERERE """""alieleza kuwa dhambi ya ubaguzi ni sawa na kula nyama ya mtu........amin msiamini huu ndo mwanzo wa kutafunana ndani ya CDM na hawatokaa salama milele......., wabunge wote wa CHADEMA kwa namna moja au nyingine tumewajua wapo upande upi! Kimsingi nampongeza Mbunge wa Kawe HALIMA MDEE kwa kukaa kimya, kutotoa neno lolote ambalo kwa namna moja au nyingine lingeendelea kukuza mgogoro! CHADEMA igeni kwa mwana Mama HALIMA MDEE kawashinda busara wanaume wote ndani ya CHADEMA upeo wa kufikiri! Nakushauri usije comment chochote juu ya hili sakata utajijengea heshima kubwa kwa nchi hiii