Hongera HALIMA MDEE umeonyesha ukomavu

Hongera HALIMA MDEE umeonyesha ukomavu

Status
Not open for further replies.
@Njepo if wishies were horses' CDM to U could have been history!!
Bahati mbaya kwenu CDM inazidi kupata nguvu!!
Wewe njoo vijini uone ukweli, wacha kujidanganya kwenye keyboard!!
 
mimi ningekuwa huko baraza kuu ningemlamba bakora kishenzi!!!halafu ningemtupa dirishani.shenzy kabisa.amekidhalilisha sana chuo kikuu alichosoma.UDSM inaonekana sasa ni mafi kabisa.inatoa wasomi aina ya zitto??udsm ianzishe utaratibu wa kuwafuatilia wahitimu wake.WANAKIAIBISHA MITAANI.WANAKISHUSHIA HADHI.
..kwa hili swala la UDSM waangalie vzr...wengi wanachemka...dr kitila, kaka mkubwa, mwigulu ndo usiseme, .....kweli ni kwa vile tu tumechelewa kujiunga CDM....lakini hakyanani wengine tungekuwa huku....PANGECHIMBIKA VIBAYA
 
Yeye anashndwa kutenganisha urafiki na ukwel kwasababu ya urafiki wake nazi zito hongera kubwa kwa mnyika kuweka urafiki pembeni na kusimamia ukweli kama zito ni msaliti afukuzwe tu hatutaki masnitch
 
Mnyika hakupaswa kujiingiza kwenye hili.hakuwa na sababu ya kujiweka kwenye level ya akina Lema,Msigwa na Sugu.Ni kujidharirisha.

Bila kujua,amejishushia heshima katika hili.

Wewe kweli kilaza,unawajua wasemaji wa cdm wewe? ulitaka kila mtu aongee bila itifaki kuzingatiwa? mnyika ni msemaji wa chama kwa kukusaidia! div 5 kweli majanga.
 
Halima is smart lieke asha migiro,anna tibaijuka, and young ladies like me.congrats Halima

LATOYA yaani na umri wako wote huo unajiita young lady?duh!kama ww ni young lady..baasi awa mabinti nitakuwa nawaita children...
 
Wewe nadhani akuwa Dokta wa miti shamba. Kwa ninavyojua mimi daktari hatakiwa ku conclude jambo bila kuwa na facts beyond reasonable doubt na ndio maana mgonjwa anafanyiwa vipimo maabara ili kupata uhakika kabla ya kumpa tiba.

Sasa mwenzetu unasema ungekuwa baraza kuu ungemchapa makofi, je ukiachilia mbali waraka wa kumhafua ZZK unaweza kutupa ushahidi kwa nini ZZK anaitwa msaliti, anastahili kufukuzwa na kchapwa makofi?
...hilo la lingine tuliache.maana kuna magonjwa mengine sio mpaka upime vipimo una fanaya diagnosis on clinical presentation ya ugonjwa wenyewe-eg google ugonjwa unaitwa mania so hayo ya udr tachie sisi ....mimi na wewe tudili na siasa huko kwingine ntakuchanganya tu...watanzania tuna mambo ya kijinga ya kufanyia kazi kwenye makaratasi mimi siangali waraka....naangalia na kuongelea matendo yake toka miaka ya 2009/10....na pia ukiangalia MATENDO yake ya kuisaliti ya karibuni....Hata ukiangalia hoja ambazo zipo nje ya chama ambayo zina maslahi kwa watanzania kama hoja ya mabilioni ya uswisi....ameindesha kiusaliti....kaiteka na mwisho hakuna conclusion yoyote.....zitto ni kimbele mbele lakini huwezi kumskia akiongelea afya, elimu, ajira, usalama and all that yeye ni hoja za kujitengenezea umaarufu tu...posho, mabilioni ya uswisi...na hata hizo hoja hakukua na conclusion yeyote.na mifano ipo mingi tuu...
 
Wakuja wewe ndio maana ujui Prof. Safari alivyo sema taarifa kwavyombo vya habari kuusu uzushi unaoenezwa kwenye mitandao kuwa sikubaliani na maamuzi ya cc nakubaliana cc kwa asilimia mia kwani kwenye cc me'nimjumbe nanilifanya maamuzi.

Unamsemea bure Halima hujui hata kwenye vikao amechangia mawazo gani. Unamchokoza tu ili aseme. By the way kuwa neutral maana yake akili yako imelala haipo A wala haipo B na wala haipo C na haipo mahala popote. VACUUM
 
Mwalimu J.K.NYERERE """""alieleza kuwa dhambi ya ubaguzi ni sawa na kula nyama ya mtu........amin msiamini huu ndo mwanzo wa kutafunana ndani ya CDM na hawatokaa salama milele......., wabunge wote wa CHADEMA kwa namna moja au nyingine tumewajua wapo upande upi! Kimsingi nampongeza Mbunge wa Kawe HALIMA MDEE kwa kukaa kimya, kutotoa neno lolote ambalo kwa namna moja au nyingine lingeendelea kukuza mgogoro! CHADEMA igeni kwa mwana Mama HALIMA MDEE kawashinda busara wanaume wote ndani ya CHADEMA upeo wa kufikiri! Nakushauri usije comment chochote juu ya hili sakata utajijengea heshima kubwa kwa nchi hiii

Kawaulize lumumba fc kuwa,kwa nini mambo mengi ya chama huongelewa na kinane au nape? then urudi hapa jamvini!
 
Mwalimu J.K.NYERERE """""alieleza kuwa dhambi ya ubaguzi ni sawa na kula nyama ya mtu........amin msiamini huu ndo mwanzo wa kutafunana ndani ya CDM na hawatokaa salama milele......., wabunge wote wa CHADEMA kwa namna moja au nyingine tumewajua wapo upande upi! Kimsingi nampongeza Mbunge wa Kawe HALIMA MDEE kwa kukaa kimya, kutotoa neno lolote ambalo kwa namna moja au nyingine lingeendelea kukuza mgogoro! CHADEMA igeni kwa mwana Mama HALIMA MDEE kawashinda busara wanaume wote ndani ya CHADEMA upeo wa kufikiri! Nakushauri usije comment chochote juu ya hili sakata utajijengea heshima kubwa kwa nchi hiii
Shetani anamshauri Malaika.
 
Mwalimu J.K.NYERERE """""alieleza kuwa dhambi ya ubaguzi ni sawa na kula nyama ya mtu........amin msiamini huu ndo mwanzo wa kutafunana ndani ya CDM na hawatokaa salama milele......., wabunge wote wa CHADEMA kwa namna moja au nyingine tumewajua wapo upande upi! Kimsingi nampongeza Mbunge wa Kawe HALIMA MDEE kwa kukaa kimya, kutotoa neno lolote ambalo kwa namna moja au nyingine lingeendelea kukuza mgogoro! CHADEMA igeni kwa mwana Mama HALIMA MDEE kawashinda busara wanaume wote ndani ya CHADEMA upeo wa kufikiri! Nakushauri usije comment chochote juu ya hili sakata utajijengea heshima kubwa kwa nchi hiii

mkuu, hujawahi kusoma imeandikwa "neutrality is the position of the coward"?
 
PhD Wacheni kutunga maneno ya uongo, kwa mwanamke mtu kama wewe ni mmbeya!!
Wacha kuchonganisha watu hypocrite mkubwa, mwana wa Lumumba!!
 
Last edited by a moderator:
Siijui katiba ya CDM...hivi baraza kuu lina wajumbe gani?
 
Unajua kura ya Halima Mdee kwenye maamuzi ya CC ilikuwa vipi?

Labda kwanza wala hukuwa unajua kuwa Mdee ni mjumbe wa CC nahisi!

Viroba vinamaliza sana uwezo wa kufikiri wa vijana wetu!

Haijalishi kura yake kwenye CC ilikuwaje,ila kukaa kimya kwenye "umma" kwenye situation kama hii ni ushindi kwa mwanasiasa yeyote makini.

JK alipata kuwaasa vijana na ninakubaliana naye kwenye hili"Mkitaka mfanikiwe kwenye siasa,tengenezeni marafiki lakini katu msirithi maadui wa marafiki zenu". Na Mnyika ana safari ndefu bado kwenye siasa, na pamoja na kurithi marafiki na washabiki wa Mbowe na Dr Slaa anapaswa pia awe makini sana ili hasirithi pia maadui na wasiowapenda hao.

Huu ni mchezo ambao anapaswa aucheze vizuri kama anataka afanikiwe.Sijawalaumu akina Lema,Sugu na Msigwa kwa sababu hawana uwezo,ni upepo tu uliowafikisha hapa walipo sasa,upepo ukikoma nao watapotea..Sijamsema Lissu kwa sababu pamoja na "kujua vitu" lakini hana personality ya kudumu kwenye siasa,lakini Mnyika ana vyote hivyo na ndio maana ni muhimu kwake kuwa makini.

Hayo ya viroba ni yenu,sipo huko.
 
Mnyika hakupaswa kujiingiza kwenye hili.hakuwa na sababu ya kujiweka kwenye level ya akina Lema,Msigwa na Sugu.Ni kujidharirisha.

Bila kujua,amejishushia heshima katika hili.

Small minds discuss people and not issues!!
 
PhD Wacheni kutunga maneno ya uongo, kwa mwanamke mtu kama wewe ni mmbeya!!
Wacha kuchonganisha watu hypocrite mkubwa, mwana wa Lumumba!!

Mmbeya na wewe BABU SLAA na JOSEPHINE mnaofanya fitna za kumuondoa HALIMA MDEE KAWE ,ili JOSEPHINE agombee mnafikiri hatujui mambo yenu, kaa kushoto wewe choko wa tandale.
 
Halima is smart lieke asha migiro,anna tibaijuka, and young ladies like me.congrats Halima

Hapo kwenye RED huyu mama Usmart wake uko wapi wakati ameshindwa kuiwakilisha vema nchi baada ya kupewa cheo chenye hadhi kubwa pale UN na ukitaka kuona alivyodhaifu fuatilia ile ziara waliyofanya kwa pamoja kati ya Kinana, Nape na yeye maana waliweka usanii mbele badala ya uhalisia.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom