Fortilo
JF-Expert Member
- Apr 10, 2012
- 5,890
- 17,744
Mwalimu J.K.NYERERE """""alieleza kuwa dhambi ya ubaguzi ni sawa na kula nyama ya mtu........amin msiamini huu ndo mwanzo wa kutafunana ndani ya CDM na hawatokaa salama milele......., wabunge wote wa CHADEMA kwa namna moja au nyingine tumewajua wapo upande upi! Kimsingi nampongeza Mbunge wa Kawe HALIMA MDEE kwa kukaa kimya, kutotoa neno lolote ambalo kwa namna moja au nyingine lingeendelea kukuza mgogoro! CHADEMA igeni kwa mwana Mama HALIMA MDEE kawashinda busara wanaume wote ndani ya CHADEMA upeo wa kufikiri! Nakushauri usije comment chochote juu ya hili sakata utajijengea heshima kubwa kwa nchi hiii
Naona mmehamishia vita kwa Halima baada ya huko kwingine kugonga mwamba... na bado Vincent Nyerere, Wenje, malizeni wote kutajataja alafu mrudi lumumba kuhesabu faida.....ujiiinga mtupu.......hivi na yale ya ukanda Halima hahusikieee.. ni Mbowe na nani na nani tena? real piece of shhh*t.