Hongera HALIMA MDEE umeonyesha ukomavu

Hongera HALIMA MDEE umeonyesha ukomavu

Status
Not open for further replies.
Mwalimu J.K.NYERERE """""alieleza kuwa dhambi ya ubaguzi ni sawa na kula nyama ya mtu........amin msiamini huu ndo mwanzo wa kutafunana ndani ya CDM na hawatokaa salama milele......., wabunge wote wa CHADEMA kwa namna moja au nyingine tumewajua wapo upande upi! Kimsingi nampongeza Mbunge wa Kawe HALIMA MDEE kwa kukaa kimya, kutotoa neno lolote ambalo kwa namna moja au nyingine lingeendelea kukuza mgogoro! CHADEMA igeni kwa mwana Mama HALIMA MDEE kawashinda busara wanaume wote ndani ya CHADEMA upeo wa kufikiri! Nakushauri usije comment chochote juu ya hili sakata utajijengea heshima kubwa kwa nchi hiii

Naona mmehamishia vita kwa Halima baada ya huko kwingine kugonga mwamba... na bado Vincent Nyerere, Wenje, malizeni wote kutajataja alafu mrudi lumumba kuhesabu faida.....ujiiinga mtupu.......hivi na yale ya ukanda Halima hahusikieee.. ni Mbowe na nani na nani tena? real piece of shhh*t.
 
Ukitaka ubaki salama pasipo kuvuliwa Uanachama lazima uyakubali yote ya Mbowe hata Kama ni kwa Shingo Upande Halima anamjua Deus malya hawezi kumkosoa mbowe Kama alivyokuwa akikosolewa na Marehemu chacha wangwe Halima endelea kupiga Kiimya Linda kadi yako ya CDM Nina uhakika unaujua Udhaifu wote wa Mbowe lakini hautathubutu kumpinga hata kwa sekunde 1 tu
 
Naona mmehamishia vita kwa Halima baada ya huko kwingine kugonga mwamba... na bado Vincent Nyerere, Wenje, malizeni wote kutajataja alafu mrudi lumumba kuhesabu faida.....ujiiinga mtupu.......hivi na yale ya ukanda Halima hahusikieee.. ni Mbowe na nani na nani tena? real piece of shhh*t.

Chezea Mzimu wa chacha wangwe wewe
 
Mwalimu J.K.NYERERE """""alieleza kuwa dhambi ya ubaguzi ni sawa na kula nyama ya mtu........amin msiamini huu ndo mwanzo wa kutafunana ndani ya CDM na hawatokaa salama milele......., wabunge wote wa CHADEMA kwa namna moja au nyingine tumewajua wapo upande upi! Kimsingi nampongeza Mbunge wa Kawe HALIMA MDEE kwa kukaa kimya, kutotoa neno lolote ambalo kwa namna moja au nyingine lingeendelea kukuza mgogoro! CHADEMA igeni kwa mwana Mama HALIMA MDEE kawashinda busara wanaume wote ndani ya CHADEMA upeo wa kufikiri! Nakushauri usije comment chochote juu ya hili sakata utajijengea heshima kubwa kwa nchi hiii


Hata wenje sijamskia pia,

Tunawaskia mamluki tuh kama Min kabaang na mibange nasari,,zezeta mnyika,tundu bovu na vifaranga wengine wasiojitambua
 
Tokea Chacha wangwe afariki CC hawajawahi kumkumbuka hata kwa Dk 1 tu licha ya Kuwa na padri na mchungaji hata bango TBC limewashinda cc hawataki kumkumbuka Chacha kisa eti Yale yote aliyokuwa akiyapinga ndani ya chama bado yapo wanaona aibu Nafsi zinawasuta kwani hadi Leo Ruzuku na mapesa ya misaada yanamezwa makao makuu tu huko matawini mashinani wanalia njaa ni full kupiga miayo pasipo cha kufanya kwani ukifurukuta tu unavuliwa uanachama ikishindikana Deus malya anakuomba urafiki
 
Mwalimu J.K.NYERERE """""alieleza kuwa dhambi ya ubaguzi ni sawa na kula nyama ya mtu........amin msiamini huu ndo mwanzo wa kutafunana ndani ya CDM na hawatokaa salama milele......., wabunge wote wa CHADEMA kwa namna moja au nyingine tumewajua wapo upande upi! Kimsingi nampongeza Mbunge wa Kawe HALIMA MDEE kwa kukaa kimya, kutotoa neno lolote ambalo kwa namna moja au nyingine lingeendelea kukuza mgogoro! CHADEMA igeni kwa mwana Mama HALIMA MDEE kawashinda busara wanaume wote ndani ya CHADEMA upeo wa kufikiri! Nakushauri usije comment chochote juu ya hili sakata utajijengea heshima kubwa kwa nchi hiii

c.cm! c.cm! c.cm
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom