Leo tarehe 19 Agosti, 2021 nimeweza kusikiliza kipindi cha CMA - Commission for Mediation and Arbitration kilichorushwa na TBC.
Katika mahojiano hayo yaliyoendeshwa na Lusekelege Mpula wa CMA ambae ni Afisa Mfawidhi wa CMA Kanda ya Dar, ameweza kueleza ni jinsi gani CMA imejikita kuhakikisha kuwa kesi zote za makazini zinamalizwa kwa wakati bila kukiuka sheria, na hilo wameweza!
Pia ameweza kueleza kuwa kwa kipindi cha mwaka 2020 wameweza kutatua migogoro ya kwa 76% ikijumuisha migogoro ya wafanyakazi waliofukuzwa kazi ambapo inaonekana kuwa wafanyakazi wengi wamekuwa wakifukuzwa kazi kimakosa na kwa kuonewa na waajiri.
Nawapa hongera sana CMA kwa kusimamia haki kuhakikksha kuwa haki ya mtumishi inalindwa, haiporwi kama Mamlaka zingine zinavyofanya uporaji wa haki za watumishi.
Katika mahojiano hayo yaliyoendeshwa na Lusekelege Mpula wa CMA ambae ni Afisa Mfawidhi wa CMA Kanda ya Dar, ameweza kueleza ni jinsi gani CMA imejikita kuhakikisha kuwa kesi zote za makazini zinamalizwa kwa wakati bila kukiuka sheria, na hilo wameweza!
Pia ameweza kueleza kuwa kwa kipindi cha mwaka 2020 wameweza kutatua migogoro ya kwa 76% ikijumuisha migogoro ya wafanyakazi waliofukuzwa kazi ambapo inaonekana kuwa wafanyakazi wengi wamekuwa wakifukuzwa kazi kimakosa na kwa kuonewa na waajiri.
Nawapa hongera sana CMA kwa kusimamia haki kuhakikksha kuwa haki ya mtumishi inalindwa, haiporwi kama Mamlaka zingine zinavyofanya uporaji wa haki za watumishi.