Aisha Adam
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 460
- 103
shukran mtoa mada nimeipenda, wannachadema unganeni tuikomboe nchi yetu
Willie,nani atawafundisha watanzania bro....hao wataalamu na walimu wanabanana BUNGENI....wengine ndio mnaijenga AMERIKA.....mkumbo amenifundisha mimi mtoto wa mkulima....wacha atoe elim kwa maskini bwanaaaa
- Unajua kwenye maisha inakuja a point where Taifa linakuhitaji zaidi kuliko mahali ulipo sasa, Chadema inamuhitaji sana Kitila na Mwanakijiji sasa kuliko wakati wowote ule toka izaliwe,
- katika kujitayarisha na uchaguzi ujao, Chadema ni lazima iiingize sura mpya kwenye uongozi wake wa juu sasa na mapema na wawe viongozi wasiotokea Kaskazini, wanahitaji kufanya that now ni maoni yangu tu kwa Chadema!
- Na huu ni ujumbe wangu straight kwa Mzee Mtei, whom I have a lot of Respect na kazi zake kwa taifa hili!!
Willie @ NYC, USA.
Slaa nadhani ingekuwa muda mzuri kuendeleza ule moto wa katiba, your voice together with your MPs' voice-kule bungeni italeta kitu fulani kizuri..uko kimya kunani??
Mkuu unaposema viongozi wake wsiwe wanaotokea Kaskazini huoni kama hiyo ni profiling!- Unajua kwenye maisha inakuja a point where Taifa linakuhitaji zaidi kuliko mahali ulipo sasa, Chadema inamuhitaji sana Kitila na Mwanakijiji sasa kuliko wakati wowote ule toka izaliwe,
- katika kujitayarisha na uchaguzi ujao, Chadema ni lazima iiingize sura mpya kwenye uongozi wake wa juu sasa na mapema na wawe viongozi wasiotokea Kaskazini, wanahitaji kufanya that now ni maoni yangu tu kwa Chadema!
- Na huu ni ujumbe wangu straight kwa Mzee Mtei, whom I have a lot of Respect na kazi zake kwa taifa hili!!
Willie @ NYC, USA.
- Sawa sawa, nimesema mara nyingi sana kwamba Dr. Kitila na Mwanakijiji, wanatakiwa kuwa sura ya the future of Chadema, Viongozi wa sasa wa Chadema wanatakiwa kuanza kuwatayarisha hawa kushika usukani huko!
Willie @ NYC, USA.
Tatizo sio TISS ni uoga wako tu.mzee utawafanya watu wengine waanze kutokwa na jasho sehemu zisizoweza kuandikika hapa; wengine tayari tunaonekana ni watu wa TISS kwa muda mrefu.
mzee utawafanya watu wengine waanze kutokwa na jasho sehemu zisizoweza kuandikika hapa; wengine tayari tunaonekana ni watu wa TISS kwa muda mrefu.
Mkuu unaposema viongozi wake wsiwe wanaotokea Kaskazini huoni kama hiyo ni profiling!
Ebu nambie haswa kwa nini viongozi wa Chadema wasitoke kaskazini ikiwa wao ndio wanachama maanake najua kesho mtasema viongozi wa Chadema wasiwe Wakristu!
Willy na wewe tunakuhitaji urudi maana vijana ndo tunaotegemewa kuleta mabadiliko
- Mkuu ninaomba sana kulisema hili kwa uwazi kidogo, ni kwamba huku niliko sasa nilikuja kwa juhudi zangu mwenyewe, Mzee alikuwa ndio kwanza amechaguliwa kwenda kuwa RC Iringa, the same week nikaamua kuacha ubaharia bada ya miaka 5 baharini nikiwa Singapore, nikarudi nyumbani baada ya kama a week nikajinunulia tiketi nikaondoka kuelekea Belgium, Canada ndio nikaja hapa New York City, na ni baada ya kama miezi sita kupitia ndio nikawafahamisha familia yangu kwamba wasinitafute nipo huku!
- Since then I have done a lot to my life, sasa this here in US are my works kwa kusaidiwa na Mungu tu, sasa siwezi kukurupuka na kuanza kurudi nyumbani bila mpangilio, sawa ninapewa offer nyingi na wanasiasa na wanasiasa hasa wanaotaka urais 2015, lakini ninazitafakari sana na nina-debate within myself kama nikubali kurudi kwa mikono ya wengine au nisubiri my timetable na kurudi on my own kwa wakati niliojipangia!
Otherwise, thaanks kwa ushauri wako!
Willie @ NYC, USA.
Lazima atakuwa Dovutwa- sawa ninapewa offer nyingi na wanasiasa na wanasiasa hasa wanaotaka urais 2015,Willie @ NYC, USA.
Mkuu unaposema viongozi wake wsiwe wanaotokea Kaskazini huoni kama hiyo ni profiling!
Ebu nambie haswa kwa nini viongozi wa Chadema wasitoke kaskazini ikiwa wao ndio wanachama maanake najua kesho mtasema viongozi wa Chadema wasiwe Wakristu!
Maneno kwenye red najua ni ulimi tu uliteleza na unaweza kuyakana kiungwana kama huwezi kuyakana nitajua yalikuwa planned niruhusu niwe naya 'quote' kukumbusha pindi unapoyasahau.- Unajua kwenye maisha inakuja a point where Taifa linakuhitaji zaidi kuliko mahali ulipo sasa, Chadema inamuhitaji sana Kitila na Mwanakijiji sasa kuliko wakati wowote ule toka izaliwe,
- katika kujitayarisha na uchaguzi ujao, Chadema ni lazima iiingize sura mpya kwenye uongozi wake wa juu sasa na mapema na wawe viongozi wasiotokea Kaskazini, wanahitaji kufanya that now ni maoni yangu tu kwa Chadema!
- Na huu ni ujumbe wangu straight kwa Mzee Mtei, whom I have a lot of Respect na kazi zake kwa taifa hili!!
Willie @ NYC, USA.
Lazima atakuwa Dovutwa
Maneno kwenye red najua ni ulimi tu uliteleza na unaweza kuyakana kiungwana kama huwezi kuyakana nitajua yalikuwa planned niruhusu niwe naya 'quote' kukumbusha pindi unapoyasahau.
Du humjui 'rais' wa tano?- Eti ni nani huyo mkuu? Mbona sijawahi kusikia hilo jina au ni nick name?Willie @ NYC, USA.
Du humjui 'rais' wa tano?