Waberoya
Platinum Member
- Aug 3, 2008
- 15,169
- 10,785
HONGERA CDM
Si rahisi kutoa hongera yangu kirahisi rahisi. Katika muda huu na nyakati hizi, natuma salamu za Hongera kwa wabunge woote wa CDM Dodoma. Kazi nzuri, hoja nzuri, mmejipanga vizuri sana. Pia peongezi kwa vyama vyote vya upinzani vyema malengo mema..recently nimeona NCCR mmejitahidi.
CDM Piganieni umoja ndani ya chama .....disunity should never be an option kwenu
HONGERA KITILA MKUMBO
However, ukija kwenye academic nampongeza sana Kitila Mkumbo kwa kuwa Promoted kuwa Senior Lecturer ...speed kubwa mkuu!!!
I am proud of you brother, najua majungu na fitina kwako mwiko,ENDELEA kuwa na roho nzuri...yees watu wanasema hivyo-una roho nzuri!
TIMU YA CHADEMA:
PAMOJA NA HIZI EVENTS AU TOPICAL ISSUES....Please msirogwe hata siku moja kuondoka kwenye ile line ya kudai katiba.
wekeni at least kamati maalumu ambayo ikilala ikiamka itasema katiba.........wakati wa kula, kulala, kunywa, na mambo yetu yaale tusikie wimbo wa katiba!!!!! kamwe asitokee mtu wala msijisahau katika hili. Kuna upepo unaletwa makusudi kwani mabadiliko ya katiba ni sumu ya mafisadi na vizazi vyao.
WATUMWA HADI LINI?
Nchi ya Tanzania iko utumwani bado na uhuru tutaupata pindi tukipata serikali mpya na katiba mpya...hakuna jema chini ya CCM hii!!
wengi najua mnapoteza muda wenu adimu kufuatilia Kikwete kasema hivi au kile, wengi mlikesha kusikiliza hotuba ya Mkulo, wengi mnaamini kuwa CCM inaweza kuleta maendeleo,mimi na nyumba yangu kamwe hatutaki hata kuisikia CCM na mambo yake yooote.
Slaa nadhani ingekuwa muda mzuri kuendeleza ule moto wa katiba, your voice together with your MPs' voice-kule bungeni italeta kitu fulani kizuri..uko kimya kunani??
Si rahisi kutoa hongera yangu kirahisi rahisi. Katika muda huu na nyakati hizi, natuma salamu za Hongera kwa wabunge woote wa CDM Dodoma. Kazi nzuri, hoja nzuri, mmejipanga vizuri sana. Pia peongezi kwa vyama vyote vya upinzani vyema malengo mema..recently nimeona NCCR mmejitahidi.
CDM Piganieni umoja ndani ya chama .....disunity should never be an option kwenu
HONGERA KITILA MKUMBO
However, ukija kwenye academic nampongeza sana Kitila Mkumbo kwa kuwa Promoted kuwa Senior Lecturer ...speed kubwa mkuu!!!
I am proud of you brother, najua majungu na fitina kwako mwiko,ENDELEA kuwa na roho nzuri...yees watu wanasema hivyo-una roho nzuri!
TIMU YA CHADEMA:
PAMOJA NA HIZI EVENTS AU TOPICAL ISSUES....Please msirogwe hata siku moja kuondoka kwenye ile line ya kudai katiba.
wekeni at least kamati maalumu ambayo ikilala ikiamka itasema katiba.........wakati wa kula, kulala, kunywa, na mambo yetu yaale tusikie wimbo wa katiba!!!!! kamwe asitokee mtu wala msijisahau katika hili. Kuna upepo unaletwa makusudi kwani mabadiliko ya katiba ni sumu ya mafisadi na vizazi vyao.
WATUMWA HADI LINI?
Nchi ya Tanzania iko utumwani bado na uhuru tutaupata pindi tukipata serikali mpya na katiba mpya...hakuna jema chini ya CCM hii!!
wengi najua mnapoteza muda wenu adimu kufuatilia Kikwete kasema hivi au kile, wengi mlikesha kusikiliza hotuba ya Mkulo, wengi mnaamini kuwa CCM inaweza kuleta maendeleo,mimi na nyumba yangu kamwe hatutaki hata kuisikia CCM na mambo yake yooote.
Slaa nadhani ingekuwa muda mzuri kuendeleza ule moto wa katiba, your voice together with your MPs' voice-kule bungeni italeta kitu fulani kizuri..uko kimya kunani??