Binti Juliana, bado uko mdogo na mrembo kiasi fulani! Nakushauri ujipe likizo kidogo kwenye siasa ukafanye shughuli nyingine mpaka akili yao ipoe kwanza! Kama una nia kweli ya kufanya "siasa" kuwa "wito wako wa maisha", basi kina Nnape, Mwigulu & Co sio Model wazuri/sahihi kwako! Tafakari!
Nimemsikiliza huyu binti akiwa ktk majukwaa ya kisiasa, nimesoma post zake mbalimbali hapa JF, nimesoma majibu yake kwa post mbalimbali hapa JF naona huyu binti hana uwezo wa kujenga hoja za maana, uwezo wake wa kufikiri na kupambanua masuala ya msingi ni mdogo sana, licha ya kutokuwa na hoja majukwaani pia hana uwezo wa kuweka hoja zake in writings (post zake JF ni pumba tupu).
Siasa zinazomfaa Shonza ni za kubebwa tu ambazo si endelevu! She can not stand on her own feet. Mimi ninachoshangaa ktk nchi ni kwamba watu wenye uwezo mdogo kiakili ndiyo wanakimbilia kuwa policy and decision makers. Hii ndiyo sababu nchi imebaki kupiga marktime miaka nenda rudi. Akili ndogo kughilibu akili kubwa ni hatari kwa taifa.