Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 34,637
- 37,959
We si ndo ulisema CCM itashinda kwa kishindo Arusha..???
Dada Juliana Shonza siasa is all about kusoma alama za nyakati... Mwenzio Chris Lukosi kasema CDM hawatakiwi kushangilia ushinda wa Arusha kwa vile ni sawa na wanakwaya kumchagua padri wao... Nilimshangaa sana, na nikamuuliza kwa nini sasa walisimamisha wagome, huku wakijuwa Arusha ni kwaya inayochagua mapadri wao wanne..??
Nikionacho ni kwamba Arusha inawachanganya sana, sasa hivi mnahofia umeya maana Nape Nnauye naye kaanza kuzungumzia CDM na ndoto za kumuondoa meya Arusha
Hayo yote ni mahangaiko na kuweweseka na kushindwa uchaguzi.... MORE WILL COME... you just wait
Dada Juliana Shonza siasa is all about kusoma alama za nyakati... Mwenzio Chris Lukosi kasema CDM hawatakiwi kushangilia ushinda wa Arusha kwa vile ni sawa na wanakwaya kumchagua padri wao... Nilimshangaa sana, na nikamuuliza kwa nini sasa walisimamisha wagome, huku wakijuwa Arusha ni kwaya inayochagua mapadri wao wanne..??
Nikionacho ni kwamba Arusha inawachanganya sana, sasa hivi mnahofia umeya maana Nape Nnauye naye kaanza kuzungumzia CDM na ndoto za kumuondoa meya Arusha
Hayo yote ni mahangaiko na kuweweseka na kushindwa uchaguzi.... MORE WILL COME... you just wait