nimekaona katoto u-turn blog ni kazuri
BTW, Who is she?
Ok, nilikuwa nimeduwaaa. Hivo ni celebrity?Ni binti kijana, mzuri wa sura na ana akili balaa! Ni rubani wa ndege, kati ya wanawake wachache watanzania.Majuzi tu nilikuwa nashangaa kapotelea wapi. I'm so proud of her kwa kweli!
....Aliishapata u-Captain? Last time I checked, she was still a First Officer??
baba anaendeleaje?Napenda kutoa pongezi kwa dada yetu, rafiki yetu Captain Hilda kwa kujifungua mtoto mzuri kabisa wa kiume leo huko USA. Mama na mtoto wote wako salama na tunawaombea afya tele na furaha.
Naomba kuwasilisha
Zamani mbona, sasa anapaisha ndege kwa raha zake.
Mtoto kabarikiwa sana yule