Home theatre nzuri

wiseboy

JF-Expert Member
Mar 22, 2011
2,931
3,299
Jaman napenda kuuliza ni ipi hometheatre nzuri? na je humu naweza pata anaeiuza hometheatre nzuri yenye speaker ndogo 6 na kuendelea
 
mkuu hata mimi nahitaji hiyo kitu kama kuna mtu anafahamu atujuze tafadhali
 
Sony ndo mpango mzima....unatakiwa ujipange coz bei ya chini ni laki kama 400,000/=.
Ila kuna LG, Samsung ni nzuri pia.
 
Sony ndo mpango mzima....unatakiwa ujipange coz bei ya chini ni laki kama 400,000/=.
Ila kuna LG, Samsung ni nzuri pia.

thnx chief, je kwa uelewa wako hyo sony ni watt ngapi? na huwa speaker ngapi?
 
Kwa kuokoa gharama na kutopenda makuu kamata singsung ndo mwisho wa matatizo wa midundo
 
na je kuna utofauti gani wa utamu wa muziki utakao na radio kubwa let say sony mfano inayouzwa laki 5 na home theater ya bei hiyo hiyo...tusaidiane hapa watalaam.
 
Kitu Sony DAV-DZ640K naikubali kinoma kwenye 650000 mpaka 700000 bei ya mjini hapa
 
Kuna bwana mmoja anaitwa Sikonge ndiye angetoa maelezo ya kitaalam kabisa kuhusu kifaa chenye ubora ktk hizi electronics. Meanwhile endelea kutumia SEA-PIANO! Ni kabrand kazuri.
 
Last edited by a moderator:
kitu cha bose kinaweza kuwa na bei kubwa sana,lakini pia sio lazima upate home theatre yenye speaker tano(5.1),maana kama lengo ni mziki mzuri,nakushauri upate kitu cha philips SOUND BAR .ebana utakubali,hii kitu ni balaa,ina pray format zote hadi blu ray na 3d,pia haichukui nafasi na ukiwa na flat screen,basi umemaliza kazi
Respect kwako pono, bt ningeshukuru endapo ungetoa specification zake, mfano uwezo (watt), # of speakers. thnx
 
asanteni wadau, lakin hizi nazo si wajomba ( wachina) wanaingiza? Sasa ni wapi ambapo ukinunua angalau kidogo inakua original na unaitambuaje maana kariakaoo zimejaa tele!
 
inabidi uwe makini,lakini pia agalia na set up ya sebule yako ndio uamue,je una space ya kutosha??una watoto??au je ni kwa ajili ya mziki wa chumbani???etc,na je una tv aina gani??flat screen au ???hayo ni baadhi ya maswali wapswa kujiuliza kabla ya kununua mziki uutakao
asanteni wadau, lakin hizi nazo si wajomba ( wachina) wanaingiza? Sasa ni wapi ambapo ukinunua angalau kidogo inakua original na unaitambuaje maana kariakaoo zimejaa tele!
 
thnk u pono, mawazo yako yananipa mwanga angalau, sebulen langu ni la kutosha, nina flat tv...nataka k2 chenye mziki wa adabu yana hata kukiwa na kasherehe kadogo nisihangaike kutafuta kiliwazo yan kitu hiyo hiyo itumike.
 
inabidi uwe makini,lakini pia agalia na set up ya sebule yako ndio uamue,je una space ya kutosha??una watoto??au je ni kwa ajili ya mziki wa chumbani???etc,na je una tv aina gani??flat screen au ???hayo ni baadhi ya maswali wapswa kujiuliza kabla ya kununua mziki uutakao

thanks mkuu, mimi ninaflat tv ila nataka tu mziki wa chumbani tu ambao atleast ni standard.
 
ka ni mziki wa chumbani mkuu,nakushauri ununue sound bar,ambayo inakuja na hdmi cable yako,waeza kufunga tv yako ukutani na sound bar pia ukaifunga ukutani,believe me,you will never regret,hata hivyo fanya survey,kuna duka moja pale kinondoni (kama upo dar) srudio,karibu na mataa kabisa kama unaelekea nbc pale manyanya,unaweza wavisit hao jamaa,bei zao si kubwa sana,lakini pia waweza angalia katika maduka mengine
thanks mkuu, mimi ninaflat tv ila nataka tu mziki wa chumbani tu ambao atleast ni standard.
 
kama una sebule kubwa,na unapenda mziki,sony 5.1 ni nzuri au samsung 5.1,nakushauri chagua ambazo zina speaker mbili za wireless ili kuweza kuwa na distribution nzuri ya mziki hasakama sebule yako ni kubwa ili usiwe na mawayawaya mengi ndani,pia ni vizuri kana hizo sherehe zako ni indoor,kama utakuwa na outdoor sherehe basi ni vyema ukaachana na homethetre na kutafuta radio tu ya sony ambayo ni watt 10000 na kuendelea kwa mziki mkubwa.lkaini kama bado unataka kitu classic,fanya utafiti juu ya sound bar,then utanambia
thnk u pono, mawazo yako yananipa mwanga angalau, sebulen langu ni la kutosha, nina flat tv...nataka k2 chenye mziki wa adabu yana hata kukiwa na kasherehe kadogo nisihangaike kutafuta kiliwazo yan kitu hiyo hiyo itumike.
 
Back
Top Bottom