Mfamaji
JF-Expert Member
- Nov 6, 2007
- 6,631
- 1,926
Pole kaka, tena unaonekana wewe ni mlokole kama sijakosea kutokana na ID yako hapo juu. Pengine nikuulize, mna mda gani katika ndoa na ulishawahi kumuuliza hizo message zina husu nini, na jibu lililikuwaje? Vipi na maelewano yenu kila mmoja anauwezo wakuwa free na simu ya mwenzie! Baada ya hapa then tutaendelea...
Yawezekana ni born again .Lakini ajua kwamba hata kama mkewe ni born again sio exeption inavyokuja suala la mahusiano nje ya ndoa. Tizama MATENDO UTAMTABUA MWENYE HILA NA MUADILIFU.
Last edited: