Holiday Greetings, Tuma salaam

Holiday Greetings, Tuma salaam

''but it only took one second to forget who you are to him''
kutongoza.jpg

cc:cc Asprin

Hahaaa It can not happen babe
 
Niletee uji na mtori.... nimelazwa Muhimbili wodi ya vichaa...

Anza kunichangia rambirambi..... Namwona ziraili ananinyemelea mchana kweupeeee...

Wakati unadanganywa si ulikuwa unanisema kama hunijui.Ni mzee lakini ulisahau msemo wa usiache mbachao kwa msala upitao na usione vyaelea babu weeee vimeundwa.Kama ulivyonikana hadharani basi na mie ujue nakukana leo

Cc sosoliso
 
Last edited by a moderator:
Wakati unadanganywa si ulikuwa unanisema kama hunijui.Ni mzee lakini ulisahau msemo wa usiache mbachao kwa msala upitao na usione vyaelea babu weeee vimeundwa.Kama ulivyonikana hadharani basi na mie ujue nakukana leo

Cc sosoliso
Napata moyo angalau hutendi unachokisema. Hapa chini umenifariji sana....

Usimdanganye babu wa watu jamani???
 
Back
Top Bottom