Karibu sana
Mke wangu yuko poa..
Msalimie...
Salam zimfikie woote watakaopitia uzi huu
Nawatakia kheri na fanaka katika msimu huu
Amen! Salamu ziwafikie wana JF wote popote pale walipo. Nawatakia kila la heri ktk sikukuu hii ya Noel na heri ya mwaka mpya 2015. Mungu awape kila lililo jema kwa mwaka ujao wa 2015
Amen! Salamu ziwafikie wana JF wote popote pale walipo. Nawatakia kila la heri ktk sikukuu hii ya Noel na heri ya mwaka mpya 2015. Mungu awape kila lililo jema kwa mwaka ujao wa 2015
Asante mume wangu kipenzi MO11....nakupenda sana mpenzi pia nampenda sana wifi yangu Khantwe.
Nami nitakuwa mchoyo wa fadhila endapo sitawatakia sikukuu njema wale waliokuwa wapenzi na waume zangu wa zamani.
Ruhazwe JR, Remote, Ben Saanane, Sumu, Arushaone, chili, Chimbuvu, Ruttashobolwa, Kimbweka....na niliowasahau.
Waume zangu wa sasa kule JLW, Shark na bacha
Pia napenda umtambue mpinzani wako mkuu TANMO....mume wangu huyo.
Wote hawa nawatakia mwaka mpya wa 2015 wenye mafanikio mema.
N.B
MO11 mume wangu naomba utambue mahawara hawaachani
mkuu siku hizi upo kimya,heri xmass na mwaka mpya njoo tufanye mchakato wa kusaka mbuzi wa xmass